zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Uliza swali lolote liwe la kiutani au linalohitaji kufikiri.
Then anaweza kutokea mtu akalijibu kwa kina au kifupi..
Uliza chochote iwe kijamii,kiuchumi na kisiasa..
Ambalo unaliona hulielewi unaweza kupata majibu ya ufafanuzi au majibu ya kiufupi pengine..
For Example ?
Hivi ndege(Airplanes)huwa zinatumia mafuta gani?
Mimi sijui jibu lakini labda Anaweza kutokea wa kulijibu
Then anaweza kutokea mtu akalijibu kwa kina au kifupi..
Uliza chochote iwe kijamii,kiuchumi na kisiasa..
Ambalo unaliona hulielewi unaweza kupata majibu ya ufafanuzi au majibu ya kiufupi pengine..
For Example ?
Hivi ndege(Airplanes)huwa zinatumia mafuta gani?
Mimi sijui jibu lakini labda Anaweza kutokea wa kulijibu