Keren_Happuch
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 1,874
- 935
kareen, klorokwini ni nani
hehehe kamanda beware of strangers, usje ukasema sikukuonya. Mie always nadili na vizee vya JF tu. hawa wageni hata wakiPM napotezea tu.
Mna mpaka wapopo humu JF.
mimi nitamsubiria akuwe legend kwanza
Mkuu tablet, hebu nakupata sana, Check na Signature yangu!hehehe kamanda beware of strangers, usje ukasema sikukuonya. Mie always nadili na vizee vya JF tu. hawa wageni hata wakiPM napotezea tu.
Mna mpaka wapopo humu JF.
mimi nitamsubiria akuwe legend kwanza
SRM ni topic ngumu kwake kwa sasa,Make sure anapata SRM......🙂
hahahaha umeona eh!!Ahahahahahaa.....once bitten, twice shy!
Ahsante keren sana tuNdo huyu hapa chini...ila namshangaa eti..................
Nikupe tip kidogo SaraM....unaweza ukareply kwa kumquote mtu by clicking "reply with quote". Karibu sana....
@nyani... ahsante sana kwa ukaribisho wako, hope tutajuana vema mbeleni, @ klorokwini jamani mbona unasema mie stranger? sing'ati bwana,... @ kimei ahsante kwa like ya kwanza nilistuka kupata , nimezoea fb
@nyani... ahsante sana kwa ukaribisho wako, hope tutajuana vema mbeleni, @ klorokwini jamani mbona unasema mie stranger? sing'ati bwana,... @ kimei ahsante kwa like ya kwanza nilistuka kupata , nimezoea fb
Da'Sara...mbona unaandika kaa mwenyeji hapa?
Ova! kamanda kuna member anakwenda kwa jina la Uporoto, akija hapa anaweza akatoa ushuhuda zaidi.Mkuu tablet, hebu nakupata sana, Check na Signature yangu!
I may be walking slowly, But I never walk backwards! and Whenever I walk backwards, Its for a long jump!
Usishtuke SaraM hapa hapaaribiki neno? tupo pamoja kama Inzi na kidonda vile!@nyani... ahsante sana kwa ukaribisho wako, hope tutajuana vema mbeleni, @ klorokwini jamani mbona unasema mie stranger? sing'ati bwana,... @ kimei ahsante kwa like ya kwanza nilistuka kupata , nimezoea fb
Umewahi kujiuliza mgeni anaeweka avatar halaf hajui kuquote?............. unanshangaza lol
Ahsante keren sana tu
Uskute ni King'asti huyo ...... lolNgoja nianze ku narrow down vikongwe na viajuza vyote ambavyo havipo leo....
kwa nini kaka angu, naangaliaga tu leo nimeamua kujiungaDa'Sara...mbona unaandika kaa mwenyeji hapa?
hapo chacha...lolDa'Sara...mbona unaandika kaa mwenyeji hapa?
you have nailed it ....komrediUmewahi kujiuliza mgeni anaeweka avatar halaf hajui kuquote?............. unanshangaza lol
Ngoja nisepe..Ova! kamanda kuna member anakwenda kwa jina la Uporoto, akija hapa anaweza akatoa ushuhuda zaidi.
hahaha Komredi umenifanya nicheke kwa sauti lolUskute ni King'asti huyo ...... lol
kwa nini kaka angu, naangaliaga tu leo nimeamua kujiunga
Na hiyo avatar,sijui ni picha yake, nzuri sanaUmewahi kujiuliza mgeni anaeweka avatar halaf hajui kuquote?............. unanshangaza lol
Babu bado una celebrate special R.M hahahahaa mie wivu mbona umetupanga, si ulinipromise yupo bibi tu na mimi?Hommie, ilimradi usinigusie Gaga,King'asti na Keren Hapuch....bado niko kwenye research ya nani anafaa kuwa soulmate wa ODM.