Keren_Happuch
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 1,874
- 935
kareen, klorokwini ni nani
Ndo huyu hapa chini...ila namshangaa eti..................
Nikupe tip kidogo SaraM....unaweza ukareply kwa kumquote mtu by clicking "reply with quote". Karibu sana....
hehehe kamanda beware of strangers, usje ukasema sikukuonya. Mie always nadili na vizee vya JF tu. hawa wageni hata wakiPM napotezea tu.
Mna mpaka wapopo humu JF.
mimi nitamsubiria akuwe legend kwanza