Special Romantic Moments......

Kupenda mtu sio crime, no need to be ashame of, au vp wajameni, just be happy

...umeona ee?...heri wewe umesema. Hapa ndipo nilipokuwapo day3 mchana na soulmate wangu...




...a romantic retreat ambayo kiukweli kuwa naye tu alinifanya nijiskie so special...
natafuta neno gani la kumshukuru kunikubalia mwaliko wangu, neno 'mbado' sijalipata...
 

Lakini MJ kiukweli kabisa, kwakuwa great moments are felt not seen, na kwakuwa Special Romantic Moments are also felt not seen....
Sasa basi mimi Special Romantic Moment ni kipindi hiki ambacho tumekuwa na mgao wa umeme..yaani napata raha hata nikipewa karaha, mida ile ya giza....and this is a Special Serious Moment!
 
Na hiyo avatar,sijui ni picha yake, nzuri sana
Yep ni picha yake, tena inasemekana hapo ndo alikuwa hawajaweka mapoda. hehehe akiweka mapoda lazima tuwape talaka wake zetu aisee!
 

Kamanda hili sred si limeshafungwa au Part 2 tayari imeanza?
 

Unajua hapa JF mimi ni memba pekee ambae siongei vitu bila ushahidi. mkuu sibitisha mwenyewe hapo juu.
Lakini imefungwa mada tu, offu topik zinaruhusiwa.

Heh! Imefungwa lini asee..??
 
enough jamani

na wengine muwe wawazi na soulmate zenu....lol
 
Hivi mmefikia huku!lol aksante mwaya Mbu kwa kuliweka wazi. Naona umewaburudisha wapenzi wetu ambao mimi ninajisikia faraja kwa kujua mema wanayoniombea.

Nawapenda wote.(Hii ni Out of topic)
 
Hivi mmefikia huku!lol aksante mwaya Mbu kwa kuliweka wazi. Naona umewaburudisha wapenzi wetu ambao mimi ninajisikia faraja kwa kujua mema wanayoniombea.

Nawapenda wote.(Hii ni Out of topic)

...mbu loves you pia mwanajamiione,...haya...sredi na ifungwe sasa...lol.
 
@nyani... ahsante sana kwa ukaribisho wako, hope tutajuana vema mbeleni, @ klorokwini jamani mbona unasema mie stranger? sing'ati bwana,... @ kimei ahsante kwa like ya kwanza nilistuka kupata , nimezoea fb

Kabla hamjafunga Sredi, ODM anaomba SaraM ampe ID yake ya kule Fesibuku. Hii ni kwa maslahi ya chama.

Mwenyekiti naomba unilinde.

Sredi Imefunguliwa Upya!
 
Kabla hamjafunga Sredi, ODM anaomba SaraM ampe ID yake ya kule Fesibuku. Hii ni kwa maslahi ya chama.

Mwenyekiti naomba unilinde.

Sredi Imefunguliwa Upya!

Orait go DOM go....
 
Hivi mmefikia huku!lol aksante mwaya Mbu kwa kuliweka wazi. Naona umewaburudisha wapenzi wetu ambao mimi ninajisikia faraja kwa kujua mema wanayoniombea.

Nawapenda wote.(Hii ni Out of topic)

Hivi napataje zile smileys za kuhug hapa?
 
Hivi bado twaendelea na SRM?
Mie Mwanshangaza. Lol
 
Orait go DOM go....
Hommie hiyo Red hapo.........Ni mtego au ndo natakiwa kutimiza ahadi za mnadani?

Aisee ngoja nimPM SaraM afu matokeo ntakutumia mheshimiwa mwenyekiti........... Idumu SRM!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…