Special Thread, COPA America 2015

Special Thread, COPA America 2015

Tupo pamoja #teamArgentina kombe la dunia lilitupita kidogo..........

mashabiki wa messi naona mnajifariji, kumbukeni dunga karudi na ndie m baya wenu,
dunga amekua akiwasumbua argentina kwa muda mrefu, ombeni msikutane nae, unakumbuka fainal 2007 (venezuela kama sikosei) argentina inalala 3-0, argentina yakina riquelme, veron, aimar, cambiasso, messi na tevez, wakati stricking force ya brazili ikiwa na julio baptista, robinho na vagner.
dk 4 julio baptista, dk 40 alves kichaa akitokea sub kapiga fataki Ayala kadeflect kitu wavuni, dk 69 Alves tena kamaliza mchezo mwisho wa siku ubao ukasomeka 3-0, mara ya pili mfululizo brazili anampokonya kombe argentina.

ombeni msikutane na #teambrazil
 
Mie pia ndio sala zangu hizo na waliyofanyiwa na Wajerumani sidhani kama yataweza kutokea kwenye mashindano haya.

My wishes to Brazil hope watalibeba kwa Mara nyingine.
 
mashabiki wa messi naona mnajifariji, kumbukeni dunga karudi na ndie m baya wenu,
dunga amekua akiwasumbua argentina kwa muda mrefu, ombeni msikutane nae, unakumbuka fainal 2007 (venezuela kama sikosei) argentina inalala 3-0, argentina yakina riquelme, veron, aimar, cambiasso, messi na tevez, wakati stricking force ya brazili ikiwa na julio baptista, robinho na vagner.
dk 4 julio baptista, dk 40 alves kichaa akitokea sub kapiga fataki Ayala kadeflect kitu wavuni, dk 69 Alves tena kamaliza mchezo mwisho wa siku ubao ukasomeka 3-0, mara ya pili mfululizo brazili anampokonya kombe argentina.

ombeni msikutane na #teambrazil
Mate mimi huku sina mzuka sana ila my wishes ni kwa Argentina na Brazil.
 
mashabiki wa messi naona mnajifariji, kumbukeni dunga karudi na ndie m baya wenu,
dunga amekua akiwasumbua argentina kwa muda mrefu, ombeni msikutane nae, unakumbuka fainal 2007 (venezuela kama sikosei) argentina inalala 3-0, argentina yakina riquelme, veron, aimar, cambiasso, messi na tevez, wakati stricking force ya brazili ikiwa na julio baptista, robinho na vagner.
dk 4 julio baptista, dk 40 alves kichaa akitokea sub kapiga fataki Ayala kadeflect kitu wavuni, dk 69 Alves tena kamaliza mchezo mwisho wa siku ubao ukasomeka 3-0, mara ya pili mfululizo brazili anampokonya kombe argentina.

ombeni msikutane na #teambrazil

Mkuu herrera, soka la south america linafanana sana. Wote wanacheza mpira wa pasi. Lakini kubali au kataa kizazi hili cha sasa kwa Argentina ni noumar. Ile forward line yao ndio inaongoza kwa kupachika mabao huko ulaya. Messi, anaongoza Kule spain, Tevenga anaongoza Kule italy pamoja na Higuein. Kun Aguerro ndio master pale EPL.

Kwa ujumla Argentina wana nafasi ya kuchukua hii ndoo pale Chile. Wana kikosi bora kabisa tangu kile cha mwisho cha kina Diego Maradona, Claudio Caniggia, George Burruchagga waliotamba miaka ya 1980-1990.
 
Last edited by a moderator:
Hahahah!!! Usichanganyikiwe my kaka huku mzuka si sana ila nina timu zangu mbili katika hizo nitafurahi kama mojawapo atachukua mwali....ila katika hizo yupo anayependwa sana.

Dah! We ni noma, hata huku una timu 2? Halafu burudani zaidi hizo timu ni wapinzani wa jadi. Hahaha umetisha.
 
Neyma japo wacheza timu pinzani kule Hispania hebu leta furaha COPA America. Niliumia sana siku ile hata usingizi nilikosa zile goli 7 ziliuma sana.
Ila jana mbaya wetu akapigwa na yeye nilifurahi sana ila bado machungu yapo.
Nakuomba Neyma na Dunga dungeni hao wote mtaokutana nao.
Ile mechi siku isahau tena ubaya nyumbani yaani nikiendelea machozi yatanitoka. Ngoja niachie hapa
Brazil all my wishes I give to you, dont disappoint me this time
 
Mkuu herrera, soka la south america linafanana sana. Wote wanacheza mpira wa pasi. Lakini kubali au kataa kizazi hili cha sasa kwa Argentina ni noumar. Ile forward line yao ndio inaongoza kwa kupachika mabao huko ulaya. Messi, anaongoza Kule spain, Tevenga anaongoza Kule italy pamoja na Higuein. Kun Aguerro ndio master pale EPL.

Kwa ujumla Argentina wana nafasi ya kuchukua hii ndoo pale Chile. Wana kikosi bora kabisa tangu kile cha mwisho cha kina Diego Maradona, Claudio Caniggia, George Burruchagga waliotamba miaka ya 1980-1990.

mkuu sikatai argentina upande wa mbele wapo vzr sana, pale nyuma otamendi, garay, zabaleta na rojo sio haba (hope mascherano atacheza kama DM) tatzo lao mimi ninalo liona hawana creative midfielder, playmaker wakuwachezesha akina messi pale, pereyra sina imani nae sana, tatzo lingne ninaloliona mimi argentina ni MESSI, messi akiwepo timu huwa haichezi jihad timu nzma inamuangalia yeye, ikitokea kakabwa ndio basi
 
Last edited by a moderator:
Dah! We ni noma, hata huku una timu 2? Halafu burudani zaidi hizo timu ni wapinzani wa jadi. Hahaha umetisha.

Hahahahhah!!!!! Labda sababu ni pacha najikuta napenda viwili viwili.......... Ule upinzani wao kwangu ndo burudani natamani hata fainali iwe ni kati ya nchi hizo.
 
wana jf hv game ya leo ya copa america inaanza mda gan.?
 
Game zitakuwa tamu sana lakin huu muda kwa huku tz ni mbaya sana.
Kwanini muda umetofautiana sana na ule wa brazil?!
lakini zingine zitaanza saa 4. muda na brazil siyo tofauti sana sema world cup uerope wasingekubali muda uwaumize na ukizingatia wadhami wa hela ndefu wako ulaya.
 
Hahahahhah!!!!! Labda sababu ni pacha najikuta napenda viwili viwili.......... Ule upinzani wao kwangu ndo burudani natamani hata fainali iwe ni kati ya nchi hizo.

Hakuna noma mama, jipe burudani. Hopefully itachezwa final baina yao, na wazee wa kijani na njano washinde.
 
Woote juu ya kupenda kwenu football mmeenda kulala hata mleta mada hayupo tumebaki vichwa ngumu gem inayo anza mda huu ni chile na equator
 
uzalendo umenishinda kipindi cha kwanza kimenitosha kuangalia hakuna hata bao laexis sanches anapoteza nafasi nyingi nitakuja kuangalia matokeo asubuhi ht 0-0
 
Jamani sisi wa Azam Tv tuna chetu huko?
 
Back
Top Bottom