Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Watapunguzwa badae, ila uzoefu wa Kaka ndio unamuweka hapo. So unless anaumia, sioni akikosa.
Ok naomba iwe hivyo sababu Kaka kaipigania sana hii nafasi na nadhani haya yatakuwa mashindano yake ya mwisho kwa timu ya taifa so ni vizuri kumpa nafasi yake ya mwisho kuonyesha kipaji chake na kuuaga ulimwengu wa soka na mashabiki wake.