Special Thread: Ebitoke, Comedian anayekuja kwa kasi

Special Thread: Ebitoke, Comedian anayekuja kwa kasi

Me nampenda sana huyu dada narudia clip zake Everytime nikiwa stressed, apart from jf anafuata ktk wanaonipa furaha. I love her deadly[emoji3]
 
Hana jipya.. Clip zake zimekaa kingono ngono tu.. Kwa style hiyo watatoka kwenye game mapema mno.
Mkuu sikiliza huyu mbunifu sana na kaangalia soko, watu wengi wako upande huu sa iv ndio mana hata hapa jf ukileta thread ya ngono au mapenz itachangiwa zaid kuliko thread nyengne jaribu kupeleleza. Sasa mm sioni ubaya muhimu kumuunga mkono anakuja vizur hebu angalia ile clip aliyopewa hela ya kula badala ya kununua chakula yy akala iyo pesa na mtt kampa za zenji na maji inachekesha sana. she deserves pongez zetu[emoji23]
 
Hana jipya.. Clip zake zimekaa kingono ngono tu.. Kwa style hiyo watatoka kwenye game mapema mno.
Mkuu sikiliza huyu mbunifu sana na kaangalia soko, watu wengi wako upande huu sa iv ndio mana hata hapa jf ukileta thread ya ngono au mapenz itachangiwa zaid kuliko thread nyengne jaribu kupeleleza. Sasa mm sioni ubaya muhimu kumuunga mkono anakuja vizur hebu angalia ile clip aliyopewa hela ya kula badala ya kununua chakula yy akala iyo pesa na mtt kampa za zenji na maji inachekesha sana. she deserves pongez zetu[emoji23]
 
Huyu binti akisimam peke yake hatoboi, ila akiwa anasapot ndio anafaaaa

Mkali wao ndio baba yao mule
 
Huyu demu yupo vizuri sana kwenye comedy, nimeangalia baadhi ya clips zake mitandaoni, kwa kweli yéyé na crew yake wanafanya vizuri sana kwa sasa, nadhani kwa sasa ndio kikundi cha comedy kinachofanya vzuri kwa sasa.
c74e71622b0e16d1f1af65acc871d51e.jpg
Yule wa KARATU ameishia wapi.. Maana naye mlimsifia humu..
 
Huyu demu yupo vizuri sana kwenye comedy, nimeangalia baadhi ya clips zake mitandaoni, kwa kweli yéyé na crew yake wanafanya vizuri sana kwa sasa, nadhani kwa sasa ndio kikundi cha comedy kinachofanya vzuri kwa sasa.
c74e71622b0e16d1f1af65acc871d51e.jpg
Wapo vizuri sana halafu ni majasiri sana. Kiukweli they are shining now. Tuwaunge mkono vijana wenzetu wanaitendea haki tasnia ya sanaa. Nawakubali na nilisha watumia ujumbe wa kuwapongeza ili kuwapa moyo wasonge mbele.
 
Mi namkubali sana Mkali wao na kuna huyu dogo anajiita lameckmuga,lakini funga kazi ni hawa wa Cheka na Mkubwa na wanawe!
 
Huyu demu yupo vizuri sana kwenye comedy, nimeangalia baadhi ya clips zake mitandaoni, kwa kweli yéyé na crew yake wanafanya vizuri sana kwa sasa, nadhani kwa sasa ndio kikundi cha comedy kinachofanya vzuri kwa sasa.
c74e71622b0e16d1f1af65acc871d51e.jpg
ujinga ujinga tu
 
Huyu demu yupo vizuri sana kwenye comedy, nimeangalia baadhi ya clips zake mitandaoni, kwa kweli yéyé na crew yake wanafanya vizuri sana kwa sasa, nadhani kwa sasa ndio kikundi cha comedy kinachofanya vzuri kwa sasa.
c74e71622b0e16d1f1af65acc871d51e.jpg
egi nkundi yo omukyaro
 
Kwakwel yule mkaka anaongea yye mishipa ya kichwa inaniuma mie
Yule hawezi, sometimes anamuiga Kitale kwenye uteja, hawezi kuwa comedian mzuri yule anatalazimisha watu mcheke. Huyo Ebitoke nimemcheki anachekesha, ila tatizo vichekesho vyake vingi vimekaa kingonongono, nitamuamini zaidi kama ataweza kuchekesha bila matusi
 
Back
Top Bottom