Special Thread: Ebitoke, Comedian anayekuja kwa kasi

Special Thread: Ebitoke, Comedian anayekuja kwa kasi

Jaymond namvulia kofia ni nomaaaaa
Mkuu nimeenda kumchungulia huyu jaymond youtube....aisee comedian wabongo wajipange kumpigia kura huyu bwana mdogo,namtabilia safari ndefu sana kwenye hii industry.
 
Yule hawezi, sometimes anamuiga Kitale kwenye uteja, hawezi kuwa comedian mzuri yule anatalazimisha watu mcheke. Huyo Ebitoke nimemcheki anachekesha, ila tatizo vichekesho vyake vingi vimekaa kingonongono, nitamuamini zaidi kama ataweza kuchekesha bila matusi
Yule mkali wenu anatumia nguvu kinoma,,ebitoke na bwana mjeda ni noma ila cheka na mkubwa na wanawe dah kuna jamaaa wakuitwa ramsoleen ni shida
 
Kwa kweli kwa comedian mmojammoja mi namkubali Sumaku,yupo ITV Ile Jumapili usiku saa 3
 
Karibu Bukoba. Tunafurahia kazi Bora unayofanya. Japo unahusisha Kabila la kimataifa Na mambo ya kippuz. Watch out.
 
Message Delivered. WAHAYA hatutakagi masikhara ya kishamba
Nyie kiboko yenu Ngosha tu. Anakuja kwenu anawapiga madongo atakavyo afu anasepa na hela zenu.

Na jinsi mlivyo wa kimataifa bado mnajipendekeza kwake
 
Huwa mna majigambo tu ya kipuuzi tu kiboko yenu ni JPM aliwapasha akawachambua kama dada yenu anavyosema chambua kama karanga na mkamshangilia si mngempinga
 
Back
Top Bottom