nyoka in
JF-Expert Member
- Aug 27, 2024
- 518
- 318
Hahahaa yesu pekee ndiyo tumaini ukiwa nae huwezi kufa kamweKila nikiwaza et ipo siku ntakufa stimu huwa inakata kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa yesu pekee ndiyo tumaini ukiwa nae huwezi kufa kamweKila nikiwaza et ipo siku ntakufa stimu huwa inakata kabisa
Kuwa Muislam kwa vitendo, siyo kwa jina.Nikaishi peponi biblia yasema hivo
UongoHawana maandiko ya Muumba wetu.
Tupe ushahidi kama u mkweli.Uongo
Uzuri ametupa na kusahau piaNimefikiria sana mateso wanayopata wafiwa pindi wapenzi wao wanapofariki, hubaki na majonzi kwa muda mrefu wakikumbuka enzi za uhai wake, kuna baadhi kutokana na ukaribu waliokuwa na marehemu nao humfuata baada ya muda mfupi.
Sipingi wala sikosoi mipango ya Mungu lkn, najiuliza hivi hakuwa na njia nyingine mbadala ya kutuondoa bila kuacha alama na kutuacha na majonzi kiasi hiki.
Kwa mfano, badala ya kufa na kuonekana unazikwa angetuhamisha na kutupeleka sayari nyingine aliyowaandalia 'wafu' (siyo mbinguni) lkn tukabaki tunawasiliana nao kwa njia yeyote ile, tukacheka nao wakatushauri tuliobaki, labda tu angetuwekea kikomo fulani cha mawasiliano tofauti na wakati walipokuwa bado hai.
Tujadili.
Kwa hiyo kuwa mkiristo ni haramu bi faizaKuwa Muislam kwa vitendo, siyo kwa jina.
Mkristo mzuri ni Muislam.
Tupe ushahidi kama u mkweli.
Kitu gani umepigwa mtaalam?Kuna vitu baadhi wanatupiga
Yesu mwenyewe alikufa we ninani usifeHahahaa yesu pekee ndiyo tumaini ukiwa nae huwezi kufa kamwe
Ukiwa muislam unaambiwa kuoa wake wengi suna kwenye ukristo et ni dhambi huoni kama hapo mnatuchanganyaKitu gani umepigwa mtaalam?
Hizo Ni imani mbili tofauti. Jaribu kupima kutumia hekima ya hali ya juu sana then angalia moyo wako unakwambia Nini Kati ya hivyo vitu viwili.Ukiwa muislam unaambiwa kuoa wake wengi suna kwenye ukristo et ni dhambi huoni kama hapo mnatuchanganya
Adhabu ya kifo ilitolewa kwa sababu ya dhambi. Sasa ukishaifia dhambi unakufaje Tena?Yesu mwenyewe alikufa we ninani usife
Sijakuelewa mkuu, bado nipo sijaondolewa.Uzuri ametupa na kusahau pia
Ni Mungu mwenyewe aliyetupa akili za kuhoji.Maarifa/akili nyingi za kibinadamu, kwa Mungu ni upumbavu mtupu.
Tumwache Mungu aitwe Mungu, kwani kila alichokiweka aliona kuwa ni vema!
namaanisha maumivu huwa ni ya muda tuSijakuelewa mkuu, bado nipo sijaondolewa.
Akili bila control ni wendawazimuNi Mungu mwenyewe aliyetupa akili za kuhoji.