hahaha [emoji23][emoji28][emoji23] hii sentensi yako yenye maneno 3 tu nimecheka mwanzoni ila ina maana nzito sana ukiielewa, asante sana chief.Kuongoza ni Kuongozana.
Naomba unitafsirie,plzzBeing an entrepreneur is simply going from one mistake to the next. You must have the fortitude to continue on.
Kuwa mjasiriamali ni kukosea mara moja na zaidi, lakini yakupasa kuwa mvumilivu na kuendelea mbele pamoja na maumivu yote hayo ya kukosea.Naomba unitafsirie,plzz
Thank youuuuuuuuu [emoji8] [emoji8] [emoji8]Kuwa mjasiriamali ni kukosea mara moja na zaidi, lakini yakupasa kuwa mvumilivu na kuendelea mbele pamoja na maumivu yote hayo ya kukosea.
Karibu mumu [emoji4][emoji4][emoji4]Thank youuuuuuuuu [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Naomba uwe mkalimani wangu tafadhali[emoji7] [emoji7] [emoji85]Karibu mumu [emoji4][emoji4][emoji4]
mkalimani wa lugha gani mumu![emoji134][emoji134][emoji3][emoji3][emoji1][emoji1]Naomba uwe mkalimani wangu tafadhali[emoji7] [emoji7] [emoji85]
Swahili-Engilish [emoji4] [emoji4]mkalimani wa lugha gani mumu![emoji134][emoji134][emoji3][emoji3][emoji1][emoji1]
Au vice versa...mkalimani wa lugha gani mumu![emoji134][emoji134][emoji3][emoji3][emoji1][emoji1]
Au vice versa...
Sawa tutashirikiana mumu usijali.Swahili-Engilish [emoji4] [emoji4]
Sure!?Sawa tutashirikiana mumu usijali.
[emoji122][emoji122][emoji122]Great things in business are never done by one person. They're done by a team of people.
Steve Jobs