hahahaMtafute mfanyakazi wa bongo hasa mtumishi wa umma uone alivyounyuka mkanda nje na tai shingoni,mfukoni ana nauri ya 300 badala ya 400,ataomba msaada kwa konda
nakubal mkuu" About the only thing that can be archived without much effort is failure" By Wes Izzad
Sent using Jamii Forums mobile app
Ebana hii imekaa poa.
hhahahah....yaweza kuwa kweli.“Women are meant to be loved, not to be understood.”