Huu ndio ukweli. Shida ndio chanzo cha maendeleo. Acha tu kukosekana kwa ajira ndio chanzo cha ujasiriamali mkubwa[emoji1] [emoji1]When times are bad is when the real entrepreneurs emerge.
Aiseeee nmeipenda
ExactlyMoney can buy anything but not everything.
"Do not compete with any one, do the best to become the best"
hahaha tatizo wachache wanaelewa hiloHuu ndio ukweli. Shida ndio chanzo cha maendeleo. Acha tu kukosekana kwa ajira ndio chanzo cha ujasiriamali mkubwa[emoji1] [emoji1]
Maana yake ni kwambahivi hii methali tafsiri yake ni nini chief.!?
aisee mbona ndio kama umezidi kunichanganya chiefMaana yake ni kwamba
Kwanza upwa ni ufukwe hivo basi yyte ambaye mda mwingi yupo ufukweni jioni ujue wali wake utakua na mchuzi Wa samaki mkuu mm ndivo navoielewa boss
Inaelekea wewe sio mswahiliaisee mbona ndio kama umezidi kunichanganya chief
kwann Thad?[emoji20]Inaelekea wewe sio mswahili
Hiyo methali manake ni sawa na ile ya mkaa bure si sawa na mtembea bureMaana yake ni kwamba
Kwanza upwa ni ufukwe hivo basi yyte ambaye mda mwingi yupo ufukweni jioni ujue wali wake utakua na mchuzi Wa samaki mkuu mm ndivo navoielewa boss
nimeipenda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji6]Laazizi achana na mabazazi, nipo hapa wako kipenzi.
Kama mimi. Baby atajua nina mahabaa kumbe mwenzie nazitoa JFNasubiri nizikopi nikampastie hahaha