Wow I did not receive the notifications for all these replies! Thank you all for your contributions to my quote collection [emoji16]
 
Nzokanhyilu,
Yes, I'm 4 real...here is another one for you.

12."Kina mama pia endeleeni kuzaa wasichana wazuri kwani katika miaka hii miwili hata kwenye mashindano ya urembo duniani tumetamba." -- Jakaya Kikwete, July 27,2007
Mkwere ni noma
 
 
AbdulJumbe! - Alipotaka serikali tatu. Nyerere alimuuliza moja kujumlisha moja ningapi..? Jumbe akajibu ni mbili. Nyerere akamwambia kama ni mbili mbona unatakaserikali tatu..? Huo ndio ukawa mwisho wa Abdul Jumbe kuwa Rais wa Zanzibar.
Aisee nimecheka sana....duh kuna watu bongo zao hazijatulia...
 
Aisee nimecheka sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…