Wakati mwingine tujifunze kumsifia mtu Akiwa hai. Ameshakufa ndo tuanze kutoa sifa zake? Ni unaaa
Tatizo lako ni zero brain.... marehemu mwenyewe alisema his death should be celebrated kenge maji wewe sijui unaongea pumba gani. Ukiweza fungua thread yake uandike content unayoitaka
 
Tatizo lako ni zero brain.... marehemu mwenyewe alisema his death should be celebrated kenge maji wewe sijui unaongea pumba gani. Ukiweza fungua thread yake uandike content unayoitaka

Hahahahahahahahaha unatukana kwa nn sasa? Akili ya mtu aliyekomaa kukosolewa ni ngazi za kufika mbali.
 
Tatizo lako ni zero brain.... marehemu mwenyewe alisema his death should be celebrated kenge maji wewe sijui unaongea pumba gani. Ukiweza fungua thread yake uandike content unayoitaka

Kwa hiyo hutaki mawazo mbadala, pole sana jamani
 
"
"Makonda kwangu ni mtoto mdogo sana"
 
"Ndoto si ile unayoota ukiwa umelala; Ndoto ni ile inayokufanya usilale”
Rest in Power RUGE!!!
 
mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe#ruge aliandika hii kwenye ubao wa kipindi cha runinga cha Mkasi mara tu baada ya kumaliza mahojiano yaliyokuwa yanaongozwa na Salama.
 
Msimo wa kweli ni kukisimamia kile ulichoamua/amini bila kujali nin kitatokea kesho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…