"Kila unapolipa kodi unazidi kufilisika"
Ni baadhi ya nchi tu

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Write your reply...mavi ya kale hayanuki unaweza kuyatumia kama dawa ya mbu
 
"Sipo mjini kutajirisha watu"


Huu msemo nimeutunga kwa mambo ninayoyapatia. Kampani ninayokuwa nayo mara nyingi ni watu wa matumizi yaani pesa ndogo ndogo kama kupanda bodaboda 3000 sehemu amabyo kuna daladala wenyewe hawaoni tabu. Na siyo kama wanapesa! Hasha bali ni ile hulka tu ya kutajirisha watu. Nikajisemea moyoni huo msemo. So unanipa sana nguvu maeneo fulani fualani.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…