Na pia katika maisha yako hautakiwi kuruhusu kila mtu akukosoe ni mwanzo wakudharauliwa na kuchukuliwa poa hata na mfanyakazi wako wa ndani, weka limit ya watu ambao wanatakiwa wakukosoe na si kila mmoja akukosoe na kukubaliana na kila anachokitaka
WRONG. kadiri unavyokosolowa ndio unazidi kuboreka. To the extent that critics lack cha kukosoa.
 
Subira pitia tena huu mtaa.
 
Naunga mkono hoja[emoji3581][emoji3581]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…