Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
ππππsawa mkuuKawaida tu mkuu nothing big!
shukrani kwa mantiki yako ili kimoja kisonge mbele lazima kingine kiangukeHapo anacho maanisha kwamba maisha yetu yanawezeshwa na kifo cha wengine vingine mfano unapochinja ng'ombe ili upate nyama unapochuma tunda na kukatamiti ili upate nafasi ya kuishi hii yote ni kwamba tunategemeana lazima kimoja kife ili kingine kibakai
By
Prof.@Balanciaga
For everything you have missed, you have gained something else. And for every- thing you gain, you lose something Else .Our life is made by death of others-
<<LEORNARDO DAVINCI>>
Wakuu karibuni kwa tafsiri zaidi na dondoo
Wakati unaichagua hii id yako ulijua iko ile ingine au ulijikuta mko wawili humu, nahisi mnafanana kwa kiasi fulani kama si mtu mmojatofauti kabisa.... yule ni Da Vinci na huyu ni daVinci XV
Mpaka ukaamuaNdio maana nakupenda
Hapana nakumbia,Mpaka ukamua
vinginevyo, kuzingua
nlijua ndiyo maana nikaongeza XV kuweka utofauti lakini si mtu mmojaWakati unaichagua hii id yako ulijua iko ile ingine au ulijikuta mko wawili humu, nahisi mnafanana kwa kiasi fulani kama si mtu mmoja
sawa sawa mkuu nimeipendawenzetu hua wanaamini kua WAKIUA wengine wao ndio wataishi umri mrefu zaidi, ndio maana ni vinara wa kuua watu duniani na iyo kazi hua wanaenda kuikamilisha middle east sana sana.
okeyy okeyyFor everything you have missed, you have gained something else. And for every- thing you gain, you lose something Else .
yes, uropa na amerikaLakini wenzetu ni hao wenye rangi nyeupe sio???
sawa sawa mkuuyes, uropa na amerika
Nafkiri anamaanisha ili wengine tuweze kuishi ama wengine waishi ni lazima wengine tufe ama wafe ili ipatikane nafasi ya kizazi kipya kuweza kuishi.
Sababu kama hakutakuwapo na vifo na huku dunia ikiwa na nafasi ile ile ni wazi kabisa hatutatosha
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa sawa mkuuAngalia na tafsiri hii hapa[emoji116][emoji116]
" Ukiona unaendelea kuishi ujue kuna watu wamepoteza uhai kwaajili ya maisha yako. Mfano halisi Kunawazee wetu wamepoteza maisha kwaajili ya kulifanya Taifa hili liwe huru. Mfano halisi wa pili, leo hii kuna manesi na madaktari wanakufa kwaajili ya kupambania maisha yetu.
π€π€π€π€Haupo sahihi!Kwani kukiwa hakuna vifo na nafasi ikawa ni ileile haiwezekani tutumie technolojia katika kuzalisha chakula,nafasi za kuishi na kadhalika na tukaweza kuishi?
Hiyo tech tunaitumia kwa namna gani kumantain uwepo wetu ambao upo kwenye expansion form while we have limited space?....Haupo sahihi!Kwani kukiwa hakuna vifo na nafasi ikawa ni ileile haiwezekani tutumie technolojia katika kuzalisha chakula,nafasi za kuishi na kadhalika na tukaweza kuishi?
Hiyo tech tunaitumia kwa namna gani kumantain uwepo wetu ambao upo kwenye expansion form while we have limited space?....
Emb changanua kwa upande wa nafasi za kuishi tuone how could this be possible
Sent using Jamii Forums mobile app