Nzi hata umuweke kwenye mzinga miaka 100 hawezi kutengeneza asali- Mjomba wangu.
Unaishi Kama nzi ukiamka tu unawaza mavi yako wapi-Mjomba wangu
Ishi Kama nyuki ana mpangilio wa kazi anazalisha product "asali-" usiishi Kama nzi hana chochote cha kujivunia-Mjomba wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…