Never mistake knowledge for wisdom,one helps you make a living the other helps you make a life
 
muongo mkubwa,,, watu na ndoa zetu miaka nenda rudi na mboni we r not at war we hav a very peaciful life n we r really enjoying.

Mpaka uwe na uwezo wa kuliona hili ndio utajua...kuwa ni war...
 
kila siku katika soma soma zetu na pitapita zetu sehemu mbalimbali tunakutana au tunasikia misemo iwe ni ya kingereza au kiswahili lakini inavutia.

Basi uzi huu uwe ni wa kunukuu misemo mbali mbali tuliyoskia au kusoma na kutaja wapi tumeisoma au kuisikia .


Vile vile tunaweza kufananisha misemo hiyo na mzingira fulani halisi tunayojua
 
....whats the difference between an outright lie and misleading truth ?????

Swali hili limeulizwa na na prof Michael sandel wa havard akifundisha philosophy mada ya lying and principles source Lying and Principles | Harvard Philosophy Lecture

....An old dog that relies on his bark cos he ain't got no bite left.

Mdau akitoa comment yake juu ya uwezo wa mchezaji Gatuso wa AC Milan kwamba kishazeeka baada ya kumkwida kocha msaidizi wa totenham.
 
"...those who inform you about others, do inform others about yourself"
 
......It does not matter how dark is the night; darkness can’t withstand light. In fact the darker it is the more vulnerable it becomes. Even a candle can pierce the heart of the darkest night......

Nimekutana na hii wakati nasoma spiritual article( dini na imani) moja mtandani
 
Leo nimeanza siku kwa kutafuta baadhi ya quotes alizowai kutamka na kuandika Nelson Mandela. Hizi ni zile nilizopenda

One of the things I learned when I was negotiating was that until I changed myself, I could not change others."
If you talk to a man in a language he understands, that goes to his head. If you talk to him in his language, that goes to his heart."
You will achieve more in this world through acts of mercy than you will through acts of retribution.

"A good head and good heart are always a formidable combination. But when you add to that a literate tongue or pen, then you have something very special
Source: Nelson Mandela quotes

Gooood day all
 
It's hard to forget pain but it's even harder to remember sweetness.
We have no scar to show for happiness. We learn so little from peace.

The Diary by Chuck Palahniuk
 
Mdau buswelu kanukuuu baadhi ya maneno aliyoongea Suleiman MOhammed Al Adawi- Dowans
 
You are your own master. Could anyone else be your master? When you have gained control over yourself, you have found a master of rare value.
 
1. Not everything that is faced can be changed, but nothing can be changed until it is faced
 
Katika kitabu cha Art of war by SunTzu anasema

.......If the words of a commander are not clear and distinct and if orders are not cleary understood the general is to blame , but if the orders are clear and soldiers nevertheless disobey then it is fault of thier officer ......


 
Failure exists only in the grave. Man, being alive, has not yet failed, he may always turn about and ascend by the same path that he descended...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…