Samweli Sitta - Alipokuwa kiongozi wa serikali ya wanafunzi UDSM aliongozamgomo wa wanafunzi wenzake kudai siagi na maziwa. Mwalimu aliibuka pale chuoniakamuuliza Samweli, Samweli kwenu mnakunywa maziwa kweli..? Akamwambia lala chini, akamcharaza bakora na mgomoukaishia hapo hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…