The revolution is now future is challenge msemo wangu huo na nimetolea na T-shirt kabisa kama una hitaji Nipigie kwa namba hii 0692637111 mtalii mweusii
 
It should be written " Women are second God's mistake"

wingi wa woman ni women na sio womens......
don't mind mkuu.
HII SIO GRAMMAR NI LITERATURE MBONA KWETU TUNAELEWA TU.NA SI UNAJUAGA MAMBO YA PERSONS AU UMESAHAU?SIKU HIZI NA WEWE UNAKADIGIRII NINI?TUSIFANYE MAISHA MAGUMU KUJIFUNZA KITU KIPYA HAKUHITAJI GRAMMAR
 
nilitaka niandike kwamba wana jf wanaikwepa kwa sababu hii haina udaku: ina elimu halisi yahusuyo maisha[emoji16][emoji16][emoji16]!!! nikaona bora niache kwa sababu nahofia kuzomewa[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]...!!
Umevuta nini
 
We are all in the same game just defferent level, dealing with the same hell just defferent devil.. unknown
 
Ukifanya fujo umeambiwa usifanye hiki ukaamua wewe kukaidi utapigwa tu maana hakuna namna nyingine maana wote lazima tukubaliane nchi hii tunaiendesha kwa misingi ya kisheria sasa kama wewe umekaidi hutaki unaona kwamba ni imara zaidi, wewe ndio jeuri zaidi watakupiga tu na mimi nasema muwapige tu, kwa sababu hakuna namna nyingine maana tumechoka sasa”. MIZENGO
 
Ukifanya fujo umeambiwa usifanye hiki ukaamua wewe kukaidi utapigwa tu maana hakuna namna nyingine maana wote lazima tukubaliane nchi hii tunaiendesha kwa misingi ya kisheria sasa kama wewe umekaidi hutaki unaona kwamba ni imara zaidi, wewe ndio jeuri zaidi watakupiga tu na mimi nasema muwapige tu, kwa sababu hakuna namna nyingine maana tumechoka sasa”. Mizengo
 
hiyo ya walter rodney nahis umechanganya kidogo au inafanana na hii ya abraham lincoln
"you can fool some of the people all of the time,all off the people some of the time,but you cannot fool all of the people all of the time"
 
Diamond amesema alikutana na ali kiba kenya wakiwa kwenye coke studio baba Tiffah anasema waliongea mengi na kupiga picha pia ali kiba alikuepo wakati yeye anarekodi nyimbo na Ne yo kwa habari zaidi bonyeza link ya blue apo chini :
Duh... Uko nje ya uzi kabisa au vibaraka!! Tiririka na uzi mambo yako ya dai na kiba peleka kwa Bashite
Duh hii thread imepinduliwa na Bashite nini i hope umeniquote kwenye ile thread ya Bob Marley!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…