poa sanaAsante, ntaendelea kutafuta maana...
Duuh!Panda wazo vuna tendo panda tendo vuna mazoea, Panda mazoea vuna aina ya mtu uliye.
Leloo.
Sent using Jamii Forums mobile app
......EARN [emoji1][emoji2][emoji123]first LEARN
then remove "L"
Upo sahihi, hizi nukuu kama tutakua tunazisoma tu na kupata hamasa kwa mda mfupi bila kuchukua hatua itakua ni kazi bure,Mkuu kuwa na hamasa bila hatua ni kazi bure, Je baada ya kusoma na kupata hamasa umechukua hatua zipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
zitakusaidia uzeeniUpo sahihi, hizi nukuu kama tutakua tunazisoma tu na kupata hamasa kwa mda mfupi bila kuchukua hatua itakua ni kazi bure,
Kwa upande wangu nashkuru Mungu hatua nmeshachukua na nipo naendelea na miradi niliyo anzisha.
"Everything may seem impossible until its done- Mandela"
"Kuanza ndo kumaliza....bila kuanza huwezi kumaliza"
Rich dad Poor dadin the world of money the rich are sellers and the poor and middle class are buyers
R.kiyosaki.....