Special thread: Kwa waliosoma shule moja na viongozi mbali mbali tukutane hapa kujua vituko vyao shuleni

Special thread: Kwa waliosoma shule moja na viongozi mbali mbali tukutane hapa kujua vituko vyao shuleni

Nimesoma na Wasirra chuo kikuu cha American university in D.C
Tulikuwa na group letu la ma-black american(nigga). Jamaa alikuwa anakula sana bangi. Kuna siku alizinguana na mshikaji mmoja anaitwa Tom, alichezea kichapo hatari siku hiyo akarudi geto na vidonda kibao
Hahahah
 
Kuna aliyesoma na huyu....
1.Waziri-wa-afyaMaendeleo-ya-jamii-Wazee-na-watoto-Ummy-Mwalimu-akisoma-taarifa-yake..jpg

Sijui kwanini ' mdomo ' wake una tofauti kubwa sana ya ' Kimvuto ' na midomo ya Wanawake wengi duniani / ulimwenguni.
 
Aiseee nmesoma na bashite pale muccobs moshi...jamaaa alikuwa anapenda sana kulala afu jamaaa sifa amezaliwa nazo..alikuwa anapenda sana kuonekana kwa mademu na kingine huyu jamaa alipenda sana kuingia na vibomba wakati wa mitihani
 
Aiseee nmesoma na bashite pale muccobs moshi...jamaaa alikuwa anapenda sana kulala afu jamaaa sifa amezaliwa nazo..alikuwa anapenda sana kuonekana kwa mademu na kingine huyu jamaa alipenda sana kuingia na vibomba wakati wa mitihani
Kumbe kasoma¿?
 
Nimesoma na Mkuu wa Wilaya ya Longido.Ni mtu wa kujituma hana majivuno wala dharau.
 
Me mimesoma na John,nakumbuka alikua mchoyo sana darasani

Siku moja bhana ilikua mtihani wa mid term nimekaa nyuma yake nikaomba anisaidie swali la 3(nafikiri atakumbuka hili tukio)akasema hajajaza kumbe kamaliza maswali yote,sasa cha ajabu siku majibu yanarudi ana 0% kumbe alikariri paper lililopita akidhani yatakuja vile vile
.
.
Ni mchoyo tangu shule hataki mwingine afanikiwe ilihal mwenyewe anaharibu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka wallah
 
Back
Top Bottom