MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23]urimbo at work
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23]urimbo at work
HahahahNimesoma na Wasirra chuo kikuu cha American university in D.C
Tulikuwa na group letu la ma-black american(nigga). Jamaa alikuwa anakula sana bangi. Kuna siku alizinguana na mshikaji mmoja anaitwa Tom, alichezea kichapo hatari siku hiyo akarudi geto na vidonda kibao
Kuna aliyesoma na huyu....![]()
Ezo ne swaga kuchekesha watu kidogo.Nobeiya iwe mukapa wa mwaka ki
Kumbe kasoma¿?Aiseee nmesoma na bashite pale muccobs moshi...jamaaa alikuwa anapenda sana kulala afu jamaaa sifa amezaliwa nazo..alikuwa anapenda sana kuonekana kwa mademu na kingine huyu jamaa alipenda sana kuingia na vibomba wakati wa mitihani
Naiwe otemu,oti okashoma na Zimbihile anga Luhangisa.Ao nakuelewa waitu,
Jina tu umelikosea, itakuwa unamaanisha MakambaNimesoma na Kapilimba[emoji41] [emoji41] [emoji41]
yeah,pia Nassari alikuwa na kipaji cha mpira ila darasani hakuwa bright sana yey kuchora ndo alikuwa anaweza tuseme shule nzima tatu bora ya wachoraji alikuwemo pia mademu walkuwa wanamkubali sana ila sidhani kama alikuwa anawachapa walikuwa wanampndea ucheshi wake.alikuwa monter form twoKumbe
Wanshekya kyomaNaiwe otemu,oti okashoma na Zimbihile anga Luhangisa.
kama Alifoji umri halafu hizo historia za kwenye makaratasi msiamini sana!Alafu kiduku kazaliwa mwaka 1983
kaza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka wallahMe mimesoma na John,nakumbuka alikua mchoyo sana darasani
Siku moja bhana ilikua mtihani wa mid term nimekaa nyuma yake nikaomba anisaidie swali la 3(nafikiri atakumbuka hili tukio)akasema hajajaza kumbe kamaliza maswali yote,sasa cha ajabu siku majibu yanarudi ana 0% kumbe alikariri paper lililopita akidhani yatakuja vile vile
.
.
Ni mchoyo tangu shule hataki mwingine afanikiwe ilihal mwenyewe anaharibu