John wa Yohana [emoji23][emoji23]John Marcela au mnyika?
[emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]Nimesoma darasa moja kinjeketile ngwale pale songea alikua mtu mwenye majivuno sanaaa
Luhangisa owa karagwe anga?Naiwe otemu,oti okashoma na Zimbihile anga Luhangisa.
Ni kweli kabisaUzi ulikua mzuri sana....
saluti kwako uliyeanzisha,
ila wapumbavu wachache tu ndio wameharibu..... daaah!!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji6] buklet ya tatuMWIGULU NCHEMBA alikuwa anaweza sana darasani, na aliwaogopa sana aanawake, nakumbuka alipenda sana economics, mwalimu kabla hajamaliza kufundisha anauliza nchemba unasemaje , anasimama na kitabu chake anaanza kudondosha nondo, kwa kifupi jamaa ni bright sana,
Siku moja kwenye paper wengine tumetumia booklet Moja ye anaandika uku amenyoosha mkono wa kushoto anaomba ya tatu inamaana ya pili pia Imejaa,
[emoji6] [emoji6] [emoji2] [emoji2] anaonekana tuHuyu dada angu kasoma nae
Dada kaniambia alikua mmbea sana kuwasemea wenzake kila kinachotokea pia alikua mtaalamu wa kusuta kwa kukodishwa na wenzie a
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] shikamoo dadaNilisoma na Julius Mtatiro, alikuwa kiongozi wa chakula alafu mtata kweli yule mkurya. Alikuwa akimdate dada mmoja anaitwa Grace na ilijulikana hadi na walimu ila hata hakufanywa lolote. Sijui ndio alikuja kumuoa!!
Daaah Mwigulu,namkumbuka sana pale Mazengo complex.MWIGULU NCHEMBA alikuwa anaweza sana darasani, na aliwaogopa sana aanawake, nakumbuka alipenda sana economics, mwalimu kabla hajamaliza kufundisha anauliza nchemba unasemaje , anasimama na kitabu chake anaanza kudondosha nondo, kwa kifupi jamaa ni bright sana,
Siku moja kwenye paper wengine tumetumia booklet Moja ye anaandika uku amenyoosha mkono wa kushoto anaomba ya tatu inamaana ya pili pia Imejaa,
We baba shikamooo with great respectIs true kwa upande wangu sikusoma naye Hussein mwinyi ila nimebahatika mwaka 1982 kuwa nalinda kwao baada ya kutoka JKT , kwasababu mwanzo kabisa nilipangwa kigoma, baada ya kumaliza PUGU,lakin matokeo yakaja ya kidato cha sita nikawa nime pass kwa kiwango cha juu mno, watu 72 tu ndo tulichaguliwa kwenda chuo kikuu, nikapangwa dar es salaam nikisubiri muda wa kujoin chuo lakin nikawa bado kambini, mwanzo nilipelekwa wazo kulinda mashine ya maji, baadae nikahamishiwa kwa mzee MWINYI akiwa waziri, nikawa nalinda pale getini wanakuja nawafungulia ,
Nadhani kama mdogo wangu Hussein Mwinyi atapita hapa atakumbuka nimemsaidia sana hesabu akiwa anarudi toka shule by that time alikuwa form three nakumbuka, namsaidia hesabu,
Ila nikachaguliwa kusoma chemical and process engineering UDSM, tumeachana hivyo lakin mzee MWINYI akaja kunikuta sehem Fulani akauliza kwanini hatukuendelea kuwasiliana,
MarahabaWe baba shikamooo with great respect
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nipo ila sio rasmi my kak[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Upo!!???
Jamani bado umetingwa sana?Nipo ila sio rasmi my kak