Special thread: Kwa waliosoma shule moja na viongozi mbali mbali tukutane hapa kujua vituko vyao shuleni

Special thread: Kwa waliosoma shule moja na viongozi mbali mbali tukutane hapa kujua vituko vyao shuleni

Nimesoma darasa moja kinjeketile ngwale pale songea alikua mtu mwenye majivuno sanaaa
 
Nimesoma darasa moja kinjeketile ngwale pale songea alikua mtu mwenye majivuno sanaaa
[emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Waliosoma na huyu jamaa naskia alikua anapenda sana kulala kwenye pindi la Maths, walio soma nae waje wadadvue zaidi

wasira_clip.jpg
 
Mie nilisoma na WASIRA chekechea yaani aliniazima past paper zangu tokea kipindi hicho hadi leo hajanirudishia,ila naendelea kumdai
 
Dah......nimesoma na mwalimu.....hata sahau msaada niliyompa kwenye hisabati.....muulizeni[emoji87] [emoji13] [emoji41]
 
MWIGULU NCHEMBA alikuwa anaweza sana darasani, na aliwaogopa sana aanawake, nakumbuka alipenda sana economics, mwalimu kabla hajamaliza kufundisha anauliza nchemba unasemaje , anasimama na kitabu chake anaanza kudondosha nondo, kwa kifupi jamaa ni bright sana,
Siku moja kwenye paper wengine tumetumia booklet Moja ye anaandika uku amenyoosha mkono wa kushoto anaomba ya tatu inamaana ya pili pia Imejaa,
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji6] buklet ya tatu
 
Nilisoma na Julius Mtatiro, alikuwa kiongozi wa chakula alafu mtata kweli yule mkurya. Alikuwa akimdate dada mmoja anaitwa Grace na ilijulikana hadi na walimu ila hata hakufanywa lolote. Sijui ndio alikuja kumuoa!!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] shikamoo dada
 
MWIGULU NCHEMBA alikuwa anaweza sana darasani, na aliwaogopa sana aanawake, nakumbuka alipenda sana economics, mwalimu kabla hajamaliza kufundisha anauliza nchemba unasemaje , anasimama na kitabu chake anaanza kudondosha nondo, kwa kifupi jamaa ni bright sana,
Siku moja kwenye paper wengine tumetumia booklet Moja ye anaandika uku amenyoosha mkono wa kushoto anaomba ya tatu inamaana ya pili pia Imejaa,
Daaah Mwigulu,namkumbuka sana pale Mazengo complex.
Nchemba alikuwa anawasalimu watu kwa kunyoosha vidole vi3 juu kumaanisha eti atapata Div One ya points 3.

Domi la ujamaa middle
 
Is true kwa upande wangu sikusoma naye Hussein mwinyi ila nimebahatika mwaka 1982 kuwa nalinda kwao baada ya kutoka JKT , kwasababu mwanzo kabisa nilipangwa kigoma, baada ya kumaliza PUGU,lakin matokeo yakaja ya kidato cha sita nikawa nime pass kwa kiwango cha juu mno, watu 72 tu ndo tulichaguliwa kwenda chuo kikuu, nikapangwa dar es salaam nikisubiri muda wa kujoin chuo lakin nikawa bado kambini, mwanzo nilipelekwa wazo kulinda mashine ya maji, baadae nikahamishiwa kwa mzee MWINYI akiwa waziri, nikawa nalinda pale getini wanakuja nawafungulia ,

Nadhani kama mdogo wangu Hussein Mwinyi atapita hapa atakumbuka nimemsaidia sana hesabu akiwa anarudi toka shule by that time alikuwa form three nakumbuka, namsaidia hesabu,

Ila nikachaguliwa kusoma chemical and process engineering UDSM, tumeachana hivyo lakin mzee MWINYI akaja kunikuta sehem Fulani akauliza kwanini hatukuendelea kuwasiliana,
We baba shikamooo with great respect
 
Back
Top Bottom