Kyawanjubu
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 2,452
- 2,197
Jonh gani Cheyo au Chato?Me mimesoma na John,nakumbuka alikua mchoyo sana darasani
Siku moja bhana ilikua mtihani wa mid term nimekaa nyuma yake nikaomba anisaidie swali la 3(nafikiri atakumbuka hili tukio)akasema hajajaza kumbe kamaliza maswali yote,sasa cha ajabu siku majibu yanarudi ana 0% kumbe alikariri paper lililopita akidhani yatakuja vile vile
.
.
Ni mchoyo tangu shule hataki mwingine afanikiwe ilihal mwenyewe anaharibu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji30] una chuki binafsiNimesoma na bonaface jacob shule inaitwa parane sec huyu mjinga kwanza alikuwa kiongozi sasa yeye yupo form 4 mimi form one mjinga alikuwa anatupiga mikanda huyu ...ile asubuh sa 11:50 anavyoamsha watu basi akikukuta umelala nimikanda tu na bahati mbaya waliruhusu viongozi kupiga wanafunzi mikanda...sitamsahau meya wa ubungo...ameingia kwenye siasa ila kachagua chama sahihi kwake kulingana na hulka yake ya ubabe
McheleVema sana ni kamanda nani, mpunga au nani
Inamaana we ni babu upo uku JFRtd General Davis Mwamunyange......Mawenzi Secondary School:1967 to 1970.
Alikuwa mpole na kichwa yake imejaa vitu....ni namba moja tu miaka yote hiyo,hajawahi kuwa wa pili.
Hekima na busara tokea shule alikuwa nazo.
Baba au mtoto?Nimesoma na Rashid Kawawa
HapanaNimesoma na bonaface jacob shule inaitwa parane sec huyu mjinga kwanza alikuwa kiongozi sasa yeye yupo form 4 mimi form one mjinga alikuwa anatupiga mikanda huyu ...ile asubuh sa 11:50 anavyoamsha watu basi akikukuta umelala nimikanda tu na bahati mbaya waliruhusu viongozi kupiga wanafunzi mikanda...sitamsahau meya wa ubungo...ameingia kwenye siasa ila kachagua chama sahihi kwake kulingana na hulka yake ya ubabe
Alikua mwalimu wangu kidato cha2 kanifundisha history, kweli jamaa anapiga balaa si fimbo wala mkanda alitoka jitegemee ndipo akaja kufundisha shuleni kwetuNimesoma na bonaface jacob shule inaitwa parane sec huyu mjinga kwanza alikuwa kiongozi sasa yeye yupo form 4 mimi form one mjinga alikuwa anatupiga mikanda huyu ...ile asubuh sa 11:50 anavyoamsha watu basi akikukuta umelala nimikanda tu na bahati mbaya waliruhusu viongozi kupiga wanafunzi mikanda...sitamsahau meya wa ubungo...ameingia kwenye siasa ila kachagua chama sahihi kwake kulingana na hulka yake ya ubabe
Saiv unajua yupo idara ipiNimesoma na Kapilimba[emoji41] [emoji41] [emoji41]
Sawa, ila yupo sehemu nyeti mpaka ana eskoti ya ulinzi na msafara kabisa
Nimeipenda hiiInamaana we ni babu upo uku JF
Acha upumbavu weweO level nilisoma na mch Gwajima alikuwa akipenda sana ushirikina.
Mnyika au?Me mimesoma na John,nakumbuka alikua mchoyo sana darasani
Siku moja bhana ilikua mtihani wa mid term nimekaa nyuma yake nikaomba anisaidie swali la 3(nafikiri atakumbuka hili tukio)akasema hajajaza kumbe kamaliza maswali yote,sasa cha ajabu siku majibu yanarudi ana 0% kumbe alikariri paper lililopita akidhani yatakuja vile vile
.
.
Ni mchoyo tangu shule hataki mwingine afanikiwe ilihal mwenyewe anaharibu
John huyuhuyu 🤣🤣🤣🤣 ila jamaa uliuaa asee cjui kwann ckuiona hii thread mapemaMe mimesoma na John,nakumbuka alikua mchoyo sana darasani
Siku moja bhana ilikua mtihani wa mid term nimekaa nyuma yake nikaomba anisaidie swali la 3(nafikiri atakumbuka hili tukio)akasema hajajaza kumbe kamaliza maswali yote,sasa cha ajabu siku majibu yanarudi ana 0% kumbe alikariri paper lililopita akidhani yatakuja vile vile
.
.
Ni mchoyo tangu shule hataki mwingine afanikiwe ilihal mwenyewe anaharibu
Ndo ashakuwa raisi usichoke kumtafuta siku mambo yakikwamaIs true kwa upande wangu sikusoma naye Hussein mwinyi ila nimebahatika mwaka 1982 kuwa nalinda kwao baada ya kutoka JKT , kwasababu mwanzo kabisa nilipangwa kigoma, baada ya kumaliza PUGU,lakin matokeo yakaja ya kidato cha sita nikawa nime pass kwa kiwango cha juu mno, watu 72 tu ndo tulichaguliwa kwenda chuo kikuu, nikapangwa dar es salaam nikisubiri muda wa kujoin chuo lakin nikawa bado kambini, mwanzo nilipelekwa wazo kulinda mashine ya maji, baadae nikahamishiwa kwa mzee MWINYI akiwa waziri, nikawa nalinda pale getini wanakuja nawafungulia ,
Nadhani kama mdogo wangu Hussein Mwinyi atapita hapa atakumbuka nimemsaidia sana hesabu akiwa anarudi toka shule by that time alikuwa form three nakumbuka, namsaidia hesabu,
Ila nikachaguliwa kusoma chemical and process engineering UDSM, tumeachana hivyo lakin mzee MWINYI akaja kunikuta sehem Fulani akauliza kwanini hatukuendelea kuwasiliana,