Special thread: Kwa waliosoma shule moja na viongozi mbali mbali tukutane hapa kujua vituko vyao shuleni

Special thread: Kwa waliosoma shule moja na viongozi mbali mbali tukutane hapa kujua vituko vyao shuleni

Me mimesoma na John,nakumbuka alikua mchoyo sana darasani

Siku moja bhana ilikua mtihani wa mid term nimekaa nyuma yake nikaomba anisaidie swali la 3(nafikiri atakumbuka hili tukio)akasema hajajaza kumbe kamaliza maswali yote,sasa cha ajabu siku majibu yanarudi ana 0% kumbe alikariri paper lililopita akidhani yatakuja vile vile
.
.
Ni mchoyo tangu shule hataki mwingine afanikiwe ilihal mwenyewe anaharibu
Jonh gani Cheyo au Chato?
 
Nimesoma na bonaface jacob shule inaitwa parane sec huyu mjinga kwanza alikuwa kiongozi sasa yeye yupo form 4 mimi form one mjinga alikuwa anatupiga mikanda huyu ...ile asubuh sa 11:50 anavyoamsha watu basi akikukuta umelala nimikanda tu na bahati mbaya waliruhusu viongozi kupiga wanafunzi mikanda...sitamsahau meya wa ubungo...ameingia kwenye siasa ila kachagua chama sahihi kwake kulingana na hulka yake ya ubabe
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji30] una chuki binafsi
 
Nimesoma na bonaface jacob shule inaitwa parane sec huyu mjinga kwanza alikuwa kiongozi sasa yeye yupo form 4 mimi form one mjinga alikuwa anatupiga mikanda huyu ...ile asubuh sa 11:50 anavyoamsha watu basi akikukuta umelala nimikanda tu na bahati mbaya waliruhusu viongozi kupiga wanafunzi mikanda...sitamsahau meya wa ubungo...ameingia kwenye siasa ila kachagua chama sahihi kwake kulingana na hulka yake ya ubabe
Hapana
 
Nimesoma na bonaface jacob shule inaitwa parane sec huyu mjinga kwanza alikuwa kiongozi sasa yeye yupo form 4 mimi form one mjinga alikuwa anatupiga mikanda huyu ...ile asubuh sa 11:50 anavyoamsha watu basi akikukuta umelala nimikanda tu na bahati mbaya waliruhusu viongozi kupiga wanafunzi mikanda...sitamsahau meya wa ubungo...ameingia kwenye siasa ila kachagua chama sahihi kwake kulingana na hulka yake ya ubabe
Alikua mwalimu wangu kidato cha2 kanifundisha history, kweli jamaa anapiga balaa si fimbo wala mkanda alitoka jitegemee ndipo akaja kufundisha shuleni kwetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilisoma na jamaa anaitwa:Kanambe kazemberembe kabange Mtwale,Sasa hivi ni Rais kwenye nchi fulani hapa Africa!
 
Ayoub Rioba (Mr Bango), TBC boss. Nilikuwa kiongozi wake wa bweni,yeye akiwa katibu wa shule. Hakuwa na vurugu,mtetezi sana wa vidato vya chini.
 
Me mimesoma na John,nakumbuka alikua mchoyo sana darasani

Siku moja bhana ilikua mtihani wa mid term nimekaa nyuma yake nikaomba anisaidie swali la 3(nafikiri atakumbuka hili tukio)akasema hajajaza kumbe kamaliza maswali yote,sasa cha ajabu siku majibu yanarudi ana 0% kumbe alikariri paper lililopita akidhani yatakuja vile vile
.
.
Ni mchoyo tangu shule hataki mwingine afanikiwe ilihal mwenyewe anaharibu
Mnyika au?
 
Me mimesoma na John,nakumbuka alikua mchoyo sana darasani

Siku moja bhana ilikua mtihani wa mid term nimekaa nyuma yake nikaomba anisaidie swali la 3(nafikiri atakumbuka hili tukio)akasema hajajaza kumbe kamaliza maswali yote,sasa cha ajabu siku majibu yanarudi ana 0% kumbe alikariri paper lililopita akidhani yatakuja vile vile
.
.
Ni mchoyo tangu shule hataki mwingine afanikiwe ilihal mwenyewe anaharibu
John huyuhuyu 🤣🤣🤣🤣 ila jamaa uliuaa asee cjui kwann ckuiona hii thread mapema
 
Is true kwa upande wangu sikusoma naye Hussein mwinyi ila nimebahatika mwaka 1982 kuwa nalinda kwao baada ya kutoka JKT , kwasababu mwanzo kabisa nilipangwa kigoma, baada ya kumaliza PUGU,lakin matokeo yakaja ya kidato cha sita nikawa nime pass kwa kiwango cha juu mno, watu 72 tu ndo tulichaguliwa kwenda chuo kikuu, nikapangwa dar es salaam nikisubiri muda wa kujoin chuo lakin nikawa bado kambini, mwanzo nilipelekwa wazo kulinda mashine ya maji, baadae nikahamishiwa kwa mzee MWINYI akiwa waziri, nikawa nalinda pale getini wanakuja nawafungulia ,

Nadhani kama mdogo wangu Hussein Mwinyi atapita hapa atakumbuka nimemsaidia sana hesabu akiwa anarudi toka shule by that time alikuwa form three nakumbuka, namsaidia hesabu,

Ila nikachaguliwa kusoma chemical and process engineering UDSM, tumeachana hivyo lakin mzee MWINYI akaja kunikuta sehem Fulani akauliza kwanini hatukuendelea kuwasiliana,
Ndo ashakuwa raisi usichoke kumtafuta siku mambo yakikwama
 
Back
Top Bottom