Special Thread: Kwa Wazawa wa Singida tukutane hapa

Umetaja kona zote nnazo zijua ndio home huko Mitaa Utemini kwa watemi elimu nimeanzia hapo Iprisco (Ipembe enzi za Mwl Kone , Mahinya, Gunda

wali nazi maharage nazi
 
Umetaja kona zote nnazo zijua ndio home huko Mitaa Utemini kwa watemi elimu nimeanzia hapo Iprisco (Ipembe enzi za Mwl Kone , Mahinya, Gunda

wali nazi maharage nazi
Mimi nimemaliza juzijuzi mughanga enzi za kina zadock swai.nyerere chini ya mwl.rama ambaye Sasa kahamishiwa ukombozi primary
 
Naona umepasahau Bomani... Enzi zake kulikuwa na kiwanja standard cha basketball......
 
Kote huko idara ya maji,sido,namfua,utemini mpaka juu huko wilayani
Safi...

Kuna mgahawa mmoja ulikuwa maarufu sana miaka ya themanini kwa kitendo cha kuuza uji kuanzia saa kumi jioni kila siku. Jina la mgahawa huo ni Mwanga.

Ningependa kujua ka bado upo na kama bado wanaendelea kuuza uji jioni....
 
Njooni Singinda kuna bigijii za kuchimba Ndaghemunyanga, Kuna madaghas, Matogo [emoji23][emoji23][emoji23] 2002 nlivyorudi nlifaisi sana hii makitu ,maembe kama yote, mapera,zambarau kudadeki natamani nirudi kuwa mdogo niyasarandie, [emoji23][emoji23][emoji23] umri umeenda, mambo mengi sina muda wa kutoka karakana Kwenda mungu maji kusarandia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah mkuu jumamos njiapanda Kama kawaida
 
Kweli umezeeka unaona haya kutega ndege?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipo kuna mtu nilisikia anauza ila nimemsahau jina ila Lissu naye alishakipigia promo siku za nyuma
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…