Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,458
- 4,283
Mitaa ya Karibu na kanisa la nazAret..au chini chini kabisa karibu na msikiti wa mitunduruni
Warangi kwao Ni kondoa dodoma..singida wapo wanyaturu katika wilaya za singida vijijini.wanyiramba wapo iramba.wanyisanzu wapo mkalama na iramba.manyoni sijui lakini najua kuna wagogo kiaina.. warangi singida mjini wapo wengi Ni sanasana Wafanyabiashara katika masoko
Nishapafaham hapo zamani nilkuwa nakuja kuogesha mbwa wangu kwenye happy ofisini.pia Ni njia yangu shotcut ya kushuka chini machinjioni.mitaa yote ya mji wa zamani naielewa coz nimesoma hapo.mughanga na sio zamani Sana Ni enzi za swai tu miaka ya juzi juziKaribu na rc au ofisi ya mtendaji
Unaulizia machimbo gani fafanua nikufafanulie.neni machimbo Lina maana nyingi
Dah kwa super kitasa umenikumbusha kitimoto ya pale na sio POA .nakuja mwezi wa sita singida lazima nitembelee emano bar,mail sita, Kuna hapa pembeni ya namfua wanapaitaje pale?Cheyo, mbacho, kirima bar, Serengeti, scene lodge, kwa super kitasa ongezea nyingine mnyampaaa
Ok, mi nimekaa hapa ukikunja pembeni ya josho nyumba ya tatu nyeupe nyuma yake Kuna jiwe lefuNishapafaham hapo zamani nilkuwa nakuja kuogesha mbwa wangu kwenye happy ofisini.pia Ni njia yangu shotcut ya kushuka chini machinjioni.mitaa yote ya mji wa zamani naielewa coz nimesoma hapo.mughanga na sio zamani Sana Ni enzi za swai tu miaka ya juzi juzi
Unaulizia machimbo gani fafanua nikufafanulie.neni machimbo Lina maana nyingi
Machimbo ya dhabab?
Totozi?
Ganja?
Duniani kote wakina dada wamekuwa wakiendelea na jukumu la la kugawa papuchi Kama kawaida ndo maana vitoto kibao vinazaliwa kila LeoHayo makabila yote hatari kwa kugawa papuchi, Singidani nyie balaa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Serengeti pub no 1Totoziiii
Sijui Kama unamfam chalii mmoja anaitwa haridi Yuko mitaa ya hapa jirani ya duka la nje ya RCO
Ok, mi nimekaa hapa ukikunja pembeni ya josho nyumba ya tatu nyeupe nyuma yake Kuna jiwe lefu
Ndio nyumbani singida....wanaume wa dar tumewaachia wema sepetu wameshindwa kumtia mimba inasikitisha Sana [emoji1787][emoji16]
Duniani kote wakina dada wamekuwa wakiendelea na jukumu la la kugawa papuchi Kama kawaida ndo maana vitoto kibao vinazaliwa kila Leo
Pesaba house nimefanya fujo Sana aseee just imagine unakodi chumba week nzima unawapa 15000 au 20000 [emoji16][emoji16][emoji16]..singida maisha mazuri sana nakuja mwaka huu huuCheyo, mbacho, kirima bar, Serengeti, scene lodge, kwa super kitasa ongezea nyingine mnyampaaa
Nendeni mwanza watani zangu wakina Magufuli toka tuwape urais mnatamba SanaWasukuma tunakomenti wapi??