Special Thread: Kwa Wazawa wa Singida tukutane hapa

Special Thread: Kwa Wazawa wa Singida tukutane hapa

Hujataja Wasukuma kwamba wamejaa kabisa singida vijijini na sasa pale mjini wachaga wanajaa na wanyaturu wanauza maendeo ya mjini na kukimbilia porini
Warangi kwao Ni kondoa dodoma..singida wapo wanyaturu katika wilaya za singida vijijini.wanyiramba wapo iramba.wanyisanzu wapo mkalama na iramba.manyoni sijui lakini najua kuna wagogo kiaina.. warangi singida mjini wapo wengi Ni sanasana Wafanyabiashara katika masoko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujataja Wasukuma kwamba wamejaa kabisa singida vijijini na sasa pale mjini wachaga wanajaa na wanyaturu wanauza maendeo ya mjini na kukimbilia porini

Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonekana wewe pia Ni mwenyeji wa singida,usingeweza kuyajua hayo yote.ni ukweli mtupu na hakika.
 
Singida Kuna nyumba za tembe,,tuna vibuyu tuna vyakula vingi vya asili kwa mfano mlenda.tuna utajiri wa utamaduni kama vile nyimbo za asili hivyo Ni baadhi ya vionjo.singida tuna vipaji vya michezo tuna wakimbia riadha wazuri.tuna historia nzuri ya mtem senge,,tunafanya kilimo mazao Kama alizeti,vitunguu fursa kubwa Zaid Ni kuku wa kienyeji nadhani sis ndo tunaongoza kwa kuku wengi

Kwa hiyo unataka nije nikae nile tu na kuangalia watu!! Kula wapi?
Hakuna vivutio vyovyote ambavyo hata nyie wenyeji mnapenda?
 
Nimefika leo kutoka Dodoma,nipo huku Regency Singidani nakula bia!

Ndege John hauna dada yako mzuri mzuri uniweke!
Mkuu unakula upepo wa singidani Safi sana.bahati mbaya Sana dada zangu wamekimbilia dar na Arusha waliobaki wote wanalea Sasa hivi Wana watoto kuanzia wa 3 na kuendelea..sidhani kama watakufaa wengi wameolewa
 
Mkuu unakula upepo wa singidani Safi sana.bahati mbaya Sana dada zangu wamekimbilia dar na Arusha waliobaki wote wanalea Sasa hivi Wana watoto kuanzia wa 3 na kuendelea..sidhani kama watakufaa wengi wameolewa
Sawa sawa Mkuu!

Tatizo mida kama hii huwa kuna kibaridi kikali sana sema Regency wamejitahidi kupatengeneza kupunguza upepo tofauti na kipindi cha nyuma wakati haipo nilikua kila nikifika Singida napenda kukaa Infinity kulikua na baridi sana kutoka ziwani,unakunywa bia huku unatetemeka!
 
Kwa hiyo unataka nije nikae nile tu na kuangalia watu!! Kula wapi?
Hakuna vivutio vyovyote ambavyo hata nyie wenyeji mnapenda?
Kiukweli siwezi kukudanganya hatuna vivutio vingi
Geographical tumepitiwa na bonde la ufa kutokea manyara linapita bondeni mpk kule mgori..
Natural attraction sio nyingi nachojua Kuna mapori ya hifadhi mbuga inaipita karibu na mpk wa kuingia mbeya huko wilayani manyoni..
Water bodies Ni chache kwa bonde la Kati internal drainage hakuna mto unaotiririsha maji mwaka mzima yote Ni seasonal kasoro miwili TU river kou ambao upo upande wa mbulu..tuna mabwawa mawili mjini Kati singidani na kindai ambayo hayatoi samaki wengi..
Mlima hanang upo kateshi ila view yake nzuri ukiwa sgd unaiona
Wanyama tuna fisi wapo wengi ndo ambao nimewaona Sana nje ya mji kidogo..mji umezungukwa na majabali makubwa wenyeji tunayaita n'gongo
 
Hivi Serengeti Pub bado ipo vizuri,kitambo sana miaka ya 2009 ndio nilikuwepo hapo,nusu nibakwe na machangudoa,si kwa kunishobokea kule
Sasa hivi ndo imerudi kwa kishindo.kuna Malaya pale kuliko sehemu yoyote mjini
 
Jee MO nae ajee ??
Bahati yenu ndege JOHN bilionea kijana hakuwasahau !!!
Ametusaidia Sana kufanya finishing ya shule za kata
Aligawa milioni 100 kwa kila shule na mifuko ya cement..namshukuru Sana japo sijui Kama zile hela huwa Ni Safi au ndo zinapigwa tu serikalini then zinarudi Kama misaada.siwaamini magabacholi
 
Back
Top Bottom