Ungekuwa wa kiume kivutio namba moja wanawake wa Singida hawana jibu la hapana, akikutana na mwanaume tayari anamuita mumeTuambie vivutio tuje kutalii.. sijawahi kufika Singida.
Warangi kwao Ni kondoa dodoma..singida wapo wanyaturu katika wilaya za singida vijijini.wanyiramba wapo iramba.wanyisanzu wapo mkalama na iramba.manyoni sijui lakini najua kuna wagogo kiaina.. warangi singida mjini wapo wengi Ni sanasana Wafanyabiashara katika masoko
Mnachonisikitisha tumewapa wema sepetu mmeshindwa kumtia mimba..sijui mna feli wapi wanaume wa darUngekuwa wa kiume kivutio namba moja wanawake wa Singida hawana jibu la hapana, akikutana na mwanaume tayari anamuita mume
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha karibu sana mkuuNendeni mwanza watani zangu wakina Magufuli toka tuwape urais mnatamba Sana
Inaonekana wewe pia Ni mwenyeji wa singida,usingeweza kuyajua hayo yote.ni ukweli mtupu na hakika.Hujataja Wasukuma kwamba wamejaa kabisa singida vijijini na sasa pale mjini wachaga wanajaa na wanyaturu wanauza maendeo ya mjini na kukimbilia porini
Sent using Jamii Forums mobile app
Singida Kuna nyumba za tembe,,tuna vibuyu tuna vyakula vingi vya asili kwa mfano mlenda.tuna utajiri wa utamaduni kama vile nyimbo za asili hivyo Ni baadhi ya vionjo.singida tuna vipaji vya michezo tuna wakimbia riadha wazuri.tuna historia nzuri ya mtem senge,,tunafanya kilimo mazao Kama alizeti,vitunguu fursa kubwa Zaid Ni kuku wa kienyeji nadhani sis ndo tunaongoza kwa kuku wengi
Mkuu unakula upepo wa singidani Safi sana.bahati mbaya Sana dada zangu wamekimbilia dar na Arusha waliobaki wote wanalea Sasa hivi Wana watoto kuanzia wa 3 na kuendelea..sidhani kama watakufaa wengi wameolewaNimefika leo kutoka Dodoma,nipo huku Regency Singidani nakula bia!
Ndege John hauna dada yako mzuri mzuri uniweke!
KhaaaaNimefika leo kutoka Dodoma,nipo huku Regency Singidani nakula bia!
Ndege John hauna dada yako mzuri mzuri uniweke!
Sawa sawa Mkuu!Mkuu unakula upepo wa singidani Safi sana.bahati mbaya Sana dada zangu wamekimbilia dar na Arusha waliobaki wote wanalea Sasa hivi Wana watoto kuanzia wa 3 na kuendelea..sidhani kama watakufaa wengi wameolewa
Kiukweli siwezi kukudanganya hatuna vivutio vingiKwa hiyo unataka nije nikae nile tu na kuangalia watu!! Kula wapi?
Hakuna vivutio vyovyote ambavyo hata nyie wenyeji mnapenda?
Sasa hivi ndo imerudi kwa kishindo.kuna Malaya pale kuliko sehemu yoyote mjiniHivi Serengeti Pub bado ipo vizuri,kitambo sana miaka ya 2009 ndio nilikuwepo hapo,nusu nibakwe na machangudoa,si kwa kunishobokea kule
Kwahiyo mdaka chozi wa auntie baridi ikiwa kali kila mkoa unaoenda unataka kukamatiaHahaha
Baridi kali sana,nitafanyaje!
Ametusaidia Sana kufanya finishing ya shule za kataJee MO nae ajee ??
Bahati yenu ndege JOHN bilionea kijana hakuwasahau !!!