Special Thread: Kwa Wazawa wa Singida tukutane hapa

Ametusaidia Sana kufanya finishing ya shule za kata
Aligawa milioni 100 kwa kila shule na mifuko ya cement..namshukuru Sana japo sijui Kama zile hela huwa Ni Safi au ndo zinapigwa tu serikalini then zinarudi Kama misaada.siwaamini magabacholi
Ha ha ha... Usiweke fikra hizo kbs!!
My take:- nyie NI raia wema na Mungu huwalipa mema ...
Ujue Kuna wengi wanatamani mazuri hata kea Ndg zao hawapati.. tushukuru mungu
 
Super kitasaa jaman kitimoto ukifika tu na ugali unapewa sijui 3500 saiv haijapanda bei kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dah kwa super kitasa umenikumbusha kitimoto ya pale na sio POA .nakuja mwezi wa sita singida lazima nitembelee emano bar,mail sita, Kuna hapa pembeni ya namfua wanapaitaje pale?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha

Usitake watu wanikimbie kama bwana Nyeusi,nilikua nataka wakupiga naye story tu..mnapokua wengi kidogo hata kibaridi kinapungua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bwana nyeusi mzee wa mamillion
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…