BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Haa kupewa jina ndo fact ya mchezaji kuwa bora? Torres aliitwa el.nino so means ni bora kuliko gaucho just because hakupewa jina?? Dihno hakuwa tu mchezaji wa mpira bali pia alifanya mpira uwe burudani
Gaucho kwa cr7 hagusi.kwa mfalme wa soka ataweza?
Messi ni mfalme/mchawi wa soka...na gaucho ni nani?
Mfalme kamzidi kila ki2 gaucho, ufundi,anauchezea mpira anavyotaka like maradona enzi zake ukija kwenye magori ,makombe,ballon dor , ustaarabu ndani na nje ya uwanja, na takataka kibao tu ambazo alishindwa kipindi chake messi katimiza.na anapendwa zaidi ya mchezaji yoyote unayemujua.
All in All mfalme hafananishwi na vitakataka.
Alafu nimekuambia niletee huyo gaucho.je yupo top 5???????? Kimyaaa, munabaki kusema gaucho ni bora kwa lipi?
Messi
El diego
Pele
Zidane
Requelme n.k