Special thread: Missing someone with special memories in your life

Special thread: Missing someone with special memories in your life

Zamani tulidanganywa sana, sikuhizi hawatupati ng'oo
CCM bado wanaendelea kudanganya, eti wanatumia mabilioni kukimbiza mwenge kwasababu mwenge unaleta amani. Kama mwenge unaleta amani kwanini hawaupeleki Ukraine 🇺🇦 ukalete amani dunia itulie na hali ya uchumi na usalama ikae vizuri?

Mfumuko wa bei uko juu sana sababu ya mchafuko Ukraine 🇺🇦, sijui CCM na mwenge wao hawajasikia kinachoendelea huko?
 
CCM bado wanaendelea kudanganya, eti wanatumia mabilioni kukimbiza mwenge kwasababu mwenge unaleta amani. Kama mwenge unaleta amani kwanini hawauoeleki Ukraine 🇺🇦 ukalete amani dunia itulie na hali ya uchumi na usalama ikae vizuri?

Mfumuko wa bei uko juu sana sababu ya mchafuko Ukraine 🇺🇦, sijui CCM na mwenge wao hawajasikia kinachoendelea huko?
Nimesikia huko wakisema ccm ni kubwa kukiko serikali yaani

Hivi mwenge una uhusiano gani na amani kwa mfano, haya mambo ni ya kijinga kabisa, kwamba wakipitisha mwenge barabarani amani inapatikana automatically hata kama kuna vitendo vya uonevu vinatokea na havikemewi
 
Mi ndio maana naona ni chama cha Mazezeta, hawatafiti tafiti za kisayansi, kutwa nzima kusikiliza wachawi na waganga
Nimesikia huko wakisema ccm ni kubwa kukiko serikali yaani

Hivi mwenge una uhusiano gani na amani kwa mfano, haya mambo ni ya kijinga kabisa, kwamba wakipitisha mwenge barabarani amani inapatikana automatically hata kama kuna vitendo vya uonevu vinatokea na havikemewi
 
Finally i was sad and Lonely
Whether you like it or not?
I'm dating myself.
I'm take care of myself.
I'm going out myself.
I'm cooking and eating myself.
I love myself🌺
18 Chic Short Layered Hairstyles for Women - PoPular Haircuts.jpg

Song Dedication: Lady Jaydee - I love Myself
Even if the truth hurts.
Take that smile my dear Pal.

Skylar
 
Back
Top Bottom