So u do wish to know the author and what I will write sioππππ
Ngoja tuone
Zamani tulikuwa tunaambiwa eti ukipiga picha relini picha inaunguaπ€£πNitumie picha ya hilo kabati aiseeππ
Ndiyo ndiyo...shusha vituSo u do wish to know the author and what I will write sio
Okay fungua private message(pm) nianze kushusha vituπ maana umelimitNdiyo ndiyo...shusha vitu
πππππTulia hapo hapo..narudi.Okay fungua private message(pm) nianze kushusha vituπ maana umelimit
Thank you Grandson, you're missed too π
πππnimetulia kama maji mtunginiπππππTulia hapo hapo..narudi.
Nashukuru sana mkuuππΌPole
Amen
Nashukuru mkuu. ππΌPole sana
CCM bado wanaendelea kudanganya, eti wanatumia mabilioni kukimbiza mwenge kwasababu mwenge unaleta amani. Kama mwenge unaleta amani kwanini hawaupeleki Ukraine πΊπ¦ ukalete amani dunia itulie na hali ya uchumi na usalama ikae vizuri?Zamani tulidanganywa sana, sikuhizi hawatupati ng'oo
Nimesikia huko wakisema ccm ni kubwa kukiko serikali yaaniCCM bado wanaendelea kudanganya, eti wanatumia mabilioni kukimbiza mwenge kwasababu mwenge unaleta amani. Kama mwenge unaleta amani kwanini hawauoeleki Ukraine πΊπ¦ ukalete amani dunia itulie na hali ya uchumi na usalama ikae vizuri?
Mfumuko wa bei uko juu sana sababu ya mchafuko Ukraine πΊπ¦, sijui CCM na mwenge wao hawajasikia kinachoendelea huko?
Nimesikia huko wakisema ccm ni kubwa kukiko serikali yaani
Hivi mwenge una uhusiano gani na amani kwa mfano, haya mambo ni ya kijinga kabisa, kwamba wakipitisha mwenge barabarani amani inapatikana automatically hata kama kuna vitendo vya uonevu vinatokea na havikemewi
Hahaha"If you expect nothing from somebody you are never disappointed.β
Expectations always hurt
Bado wewe utupe story zakoKumbe jf kuna malove story hatari. Mbona hamkusema mapema