Special thread: Missing someone with special memories in your life

Special thread: Missing someone with special memories in your life

Mweh huyo anaweza aisee
Inaonekana mna bond flani nyie wawili
Anaonekana pia Yuko matured enough
Huyo kweli yupo matured...yeye focus yake ni just to have fun. The chemistry is amazing...she is great company ila pia ameishi nje ya nchi long time so hiyo background pia inachangia
 
Huyo kweli yupo matured...yeye focus yake ni just to have fun. The chemistry is amazing...she is great company ila pia ameishi nje ya nchi long time so hiyo background pia inachangia
Hana uswahili huyo kabisa
Eeh kumbe ndo maana anaelewa anachofanya
Hao wadada unaotoka nao ni high class bhana
 
Oooh baba bulubendi wangu, i missed you like crazy. How are you love?

Love you more[emoji173]
I just want you to know that I love you

You are the only one who have tried to love me here Jf

I don't even know you, you don't even know me

I can't explain how much your love means to me

But it means everything to me

Our little jokes on baba bulubendi they are everything

I love you Espy [emoji3531]
 
I just want you to know that I love you

You are the only one who have tried to love me here Jf

I don't even know you, you don't even know me

I can't explain how much your love means to me

But it means everything to me

Our little jokes on baba bulubendi they are everything

I love you Espy [emoji3531]
Aaaaw!! This means alot babe. I love you more [emoji7][emoji7][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
 
Hana uswahili huyo kabisa
Eeh kumbe ndo maana anaelewa anachofanya
Hao wadada unaotoka nao ni high class bhana
Anatoka a well off family ila she is humble as it gets. Kuna muda nasema sijui niweke kambi hapa lakini mhm anavyoniambiaga plans zake naona kabisa huyu yupo career focused....kuwa mke ni kitu cha mwisho kabisa
 
Anatoka a well off family ila she is humble as it gets. Kuna muda nasema sijui niweke kambi hapa lakini mhm anavyoniambiaga plans zake naona kabisa huyu yupo career focused....kuwa mke ni kitu cha mwisho kabisa
Anaonekana tu huyo ni wa kishua ..
Dah ndo shida hapo ndo maana anaweza kuvumilia fwb ...mawazo ya ndoa hayapo kabisa kichwani mwake .
 
Anaonekana tu huyo ni wa kishua ..
Dah ndo shida hapo ndo maana anaweza kuvumilia fwb ...mawazo ya ndoa hayapo kabisa kichwani mwake .
Kabisa...alafu sii hamna presha toka kwa wazazi. Mhm angekuwa wakibongobongo angekuwa anawekwa vikao tuu.

Kuna mwengine huko nyuma we had a fling bwana amesaka ndoa wapi watu wanajipigia na kisepa mwishoe mrembo kaona isiwe tabu wacha nimlengeshee jomba nipate mtoto maana ndoa imekuwa mtihani
 
Kabisa...alafu sii hamna presha toka kwa wazazi. Mhm angekuwa wakibongobongo angekuwa anawekwa vikao tuu.

Kuna mwengine huko nyuma we had a fling bwana amesaka ndoa wapi watu wanajipigia na kisepa mwishoe mrembo kaona isiwe tabu wacha nimlengeshee jomba nipate mtoto maana ndoa imekuwa mtihani

Huku bongo aisee tunakoma sio wazazi ila mtaa mzima unakuhoji kwa nini bado hujaolewa ? Kukiwa hakuna pressure basi hapo hawezi kuwaza ndoa kabisa .

Leo nimemshushua mtu huyo ,nikamwambia akome kufuatilia maisha yangu hayamhusu .. huyu amenikera saa kumi na mbili ananiudhi .

Ndoa imekuwa changamoto sana siku hizi , watu wanaamua wazae tu watoto watulie .. Mungu tu afungue njia .
 
CCM bado wanaendelea kudanganya, eti wanatumia mabilioni kukimbiza mwenge kwasababu mwenge unaleta amani. Kama mwenge unaleta amani kwanini hawaupeleki Ukraine [emoji1255] ukalete amani dunia itulie na hali ya uchumi na usalama ikae vizuri?

Mfumuko wa bei uko juu sana sababu ya mchafuko Ukraine [emoji1255], sijui CCM na mwenge wao hawajasikia kinachoendelea huko?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huku bongo aisee tunakoma sio wazazi ila mtaa mzima unakuhoji kwa nini bado hujaolewa ? Kukiwa hakuna pressure basi hapo hawezi kuwaza ndoa kabisa .

Leo nimemshushua mtu huyo ,nikamwambia akome kufuatilia maisha yangu hayamhusu .. huyu amenikera saa kumi na mbili ananiudhi .

Ndoa imekuwa changamoto sana siku hizi , watu wanaamua wazae tu watoto watulie .. Mungu tu afungue njia .
Kwa mwanamke bongo ni presha kubwa sana ...unakuta mwisho mama mzazi mwenyewe anakupiga madomgo...oh mbona mie naishi kuchangia harusi za wezangu tuu....wee lini utaleta mume. Mara oh nahitaji mjukuu basi ni shida.

Ndio kama hivyo wanawake wanajiongeza tuu...bora kuzaaa au ndio hivyo anapata kamujamaa wanafunga ndoa anabeba mimba baada ya hapo vurugu maana alishaolewa kamnyamazisha mama yameisha.
 
Kwa mwanamke bongo ni presha kubwa sana ...unakuta mwisho mama mzazi mwenyewe anakupiga madomgo...oh mbona mie naishi kuchangia harusi za wezangu tuu....wee lini utaleta mume. Mara oh nahitaji mjukuu basi ni shida.

Ndio kama hivyo wanawake wanajiongeza tuu...bora kuzaaa au ndio hivyo anapata kamujamaa wanafunga ndoa anabeba mimba baada ya hapo vurugu maana alishaolewa kamnyamazisha mama yameisha.

Aisee pressure hiyo mbaya unaweza kujikuta unaolewa na mtu siye kisa kuwaza lini utaolewa .
Atleast wamama wapo supportive hata ukileta mimba ndani... Wazee huwa hawaelewi kabisa

Kuzaa ni jambo jema tena lenye baraka .. maisha yamebadilika mno .
 
Back
Top Bottom