ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Dharau hii, lakini poa tu. Siku hizi hatulazimishi kupendwa, ukiona hivyo big g ishaisha utam[emoji23][emoji23][emoji23]Halafu anatumia Ubini wako kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dharau hii, lakini poa tu. Siku hizi hatulazimishi kupendwa, ukiona hivyo big g ishaisha utam[emoji23][emoji23][emoji23]Halafu anatumia Ubini wako kabisa
Kwani naelekea wapi eti?[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji24][emoji24][emoji24]Nimetoa tu taarifa, maana unapoelekea sio[emoji38][emoji38]
Babe mambo yetu usimtwishe Mungu, tunayamaliza wenyewe.Namwachia Mungu mkuu, kama huyu mama kaona nastahili hii adhabu namwachia Mungu [emoji16][emoji16]
Kama tuna kaugomvi ambako mimi sikajui naomba tukakamalize tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kweli kabisa bora umwachie Mungu maana hatua aliyofikia ni ngumu sana
Baby huyo sio mchepuko wangu, bali ni kipenzi changu. Sijui nimeeleweka[emoji2369][emoji2369][emoji2369]Anabebishana na mchepuko mbele yangu, kwanza Espy Eroni huu utaratibu ameuanza lini[emoji16]
Babe njoo nikwambie.Dharau hii, lakini poa tu. Siku hizi hatulazimishi kupendwa, ukiona hivyo big g ishaisha utam[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hiyo yule ni nani!Babe mambo yetu usimtwishe Mungu, tunayamaliza wenyewe.
Abee!Kwa hiyo yule ni nani!
Nikwambie kitu[emoji23][emoji23][emoji23]Babe njoo nikwambie.
Akina nani hao?Nasoma comment mimi...
Watu waliomisiana...
Nakuachaje na hauniachi!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niache we' Dada...
Sitaki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nikwambie kitu[emoji23][emoji23][emoji23]
Waliomisiana..juu huko..Akina nani hao?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sitaki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa huku chini unafanya nini?Waliomisiana..juu huko..
Nachangia maada[emoji28]Sasa huku chini unafanya nini?