Special Thread: Mnanda, Mchiriku, vanga na Singeli Utamaduni wa kipekee unaotambulisha Tanzania kimataifa

Special Thread: Mnanda, Mchiriku, vanga na Singeli Utamaduni wa kipekee unaotambulisha Tanzania kimataifa

Aaah!!mbrazil
Vonjo vya Aah
#mwendo wa aah!
#vikoba tu kulipa aah
#muone huyu kuview tu kusubscribe aah!
#Huyu naye ....
 

Attachments

#Nilivyozaliwa nililazimishwa nilie.wana hebu fanyeni nifurahie maisha basi!!
Dah...manesi msilazimishe watoto walie kwa kuwpiga makofi. nani kawafundisha hii kitu??? tubadilike sasa ha ha ha..yaani hadi mwamba kawaimba kiaina.
#Tukutane palepale
#Waluguru
#Nani kachelewesha keki inabidi tule ugali dagaa leo siku ya birthday!!
#Leo ndio nitawatambua wanangu wanaonikataa.
#inanitunza jero nitanunua nini?
 

Attachments

kwani we nani?
#hufati hii level haufiki
uliforce kunijua ndio ushanijua ila mi sijakujua
#pilikapilika za mtu mweusi
#sizimiwi data
#namwimbia mama bora aliyemkuza mwana
#mbele ya kombati nyuma wabishi
 

Attachments

Usije mjini ya Juma Mpogo.

Kwenye mashairi anaelezea ugumu wa maisha ya mji wa Dar,hii ikipigwa Kwenye basi unapoingia Dar ilikuwa inakufanya utafakari sana
 
Lazima tufikiri maisha ni kitu gani?
Vionjo:
#Lazima tufikiri wapi tunapokwenda
#ukizeeka hivyo hivyo watoto watakucheka
#pistoni 6
Mkuu unalile song la wametoka mbali litupie nadhan ni jagwa music waliimba sina hakika .
 
maisha popote!..sikia Sauti ya Sayona hii.

Vionjo
#bodaboda...Tafuta usichoke
#makonda ...Tafuta usichoke
#mama ntilie...Tafuta usichoke
#Watoto wa Road...Tafuta usichoke
#Utawala wa Manyani
#Wasilimishe
#namuamini Mola jalali ndio anajua nakula wapi
#Siku hizi hatulali tunafanya kazi
#Well done
 

Attachments


View: https://youtu.be/F2-8yVptv7I?si=fN-JVSgEiIYcFXxi

Vionjo
#Mchumba
#Mpenzi Rehema vitu vya thamani utavaa sana..
#Gebo peter
#Mahari yoyote mi nitatoa ili nikuoe
#Hata kama nyumba nitakujengea
#Hata kama gari nitakununulia
#Mtoro hatoroki


#Asha
#Heshima na upole wako Asha umenifanya nitoe barua
#Wazazi wako wanaelewa
#Asha niambie kweli
#kama hunitaki usinitapeli

#Jamila
#Jamila ninakupenda
#Lalamiko langu unalisikia lengo langu sio kukuchezea Jamiilaa
#Hii ni sauti ya kijumuia
#nataka idhini yako nije kutoa barua
#Sema babu Ali!

#kuruthumu English figure

#Roho yangu ipo kwako
#Chaguo langu la moyo liko kwako kuruthumu
#si mweupe si mweusi kuruthum
#si mrefu si mfupi kuruthum
#siku nisipokuona kuruthum sina raha ila ninapokuona ninakuwa furahani kuruthum
#ni lazima uelewe kuruthumu

#Jenipha
#awe pambo la nyumba yangu
#Ee ee jenipha wangu
#nimetoka naye mbali... jenipha
#tena bila mahari... jenipha
 

View: https://youtu.be/Mfwdxieqp-M?si=5UniLvOlLErfW8fq

Vionjo
#Kuruthumu(English figure)

#Uje Uje Uje tucheze jagwa la leo

#Yaani chaguo langu la moyo liko kwako
#yaani ni kati kwa kati kuruthumu
#siku usiocheka kuruthumu hata mimi mwenzio nakasirika kuruthumu
#napenda tabia yako
#Bunju B
#Wazo juu
#Mmekanyaga miwaya
#ongoza dege la jeshi
#wanaona gere hao
#Mama Kishari
#wakubaliane na sisi
 
Hauna kazi hilo hapo....M.C JEUSI
kikosi Sita nne gawa kwa mbili.

##Waacheni Wafanye kazi
##Anayekosea nitamuondoa
Watoto wa Mwananyamaza mpoo?
#Wanangu wa Saidia fundi
#Mjomba Show me
 
Dqh hii miziki inanikumbusha mbali sana hasa maisha ya dar es Salaam
 
Aaah!!mbrazil
Vonjo vya Aah
#mwendo wa aah!
#vikoba tu kulipa aah
#muone huyu kuview tu kusubscribe aah!
#Huyu naye ....
Ebana hivi 7 survival wapo? Wakiongozwa na jenerali lupozi
 
Back
Top Bottom