Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeruka sana kama popcorn ule uzi wa Valentine ila mimi nilikua nishakuelewa.Ndio maana nakupenda.
the most AWESOME, looks like my wife
Nina miaka zaidi ya 10 humu na sina tabia ya kutolea watu kauli mbaya, dharau wala kutukana. Naamini ilikuwa ni katika muktadha huu huu wa utani na pengine ulichukulia out of context. Hii nadhani ni mara ya pili unarudia hili jambo. Inaonekana uliumia kweli kweli na tangu mwaka 2022 huko bado tu una chuki na maumivu wakati mimi wala sikumbuki nilisema nini. Na nadhani nilishakuomba msamaha. Achilia please!Kuna siku ulinitolea kauli mbaya sababu ya mwili wangu na vile nilisifia wadada wembamba. Mimi sivutiwi kabisa na unene awe ke ama me ila katu siwezi kumsema vibaya mtu kisa ni mnene. Mshamba kaona mwanamke asie mnene ndio mwanamke bora kwake wala usimbeze, ni kama wewe unavyopenda wanawake mabonge mtu akikubeza huwezi kujiskia vizuri kama ulivyoandika hapo. Tuishi humo, kila mtu abakie na anachopenda bila kuwatolea maneno ya kuudhi wengine.
Sina hela, nitakuchosha tu.Umeruka sana kama popcorn ule uzi wa Valentine ila mimi nilikua nishakuelewa.
Babu yaishe tafadhali usije ukatuachia laana😅Nina miaka zaidi ya 10 humu na sina tabia ya kutolea watu kauli mbaya, dharau wala kutukana. Naamini ilikuwa ni katika muktadha huu huu wa utani na pengine ulichukulia out of context. Hii nadhani ni mara ya pili unarudia hili jambo. Inaonekana uliumia kweli kweli na bado una chuki na maumivu wakati mimi wala sikumbuki nilisema nini. Na nadhani nilishakuomba msamaha. Achilia please!
Kwa mengine yote uko sahihi. Na utani wa timu vimbaumbau vs. Bantu ladies ni sawa tu na ule wa Simba na Yanga (au ule wa Wasukuma vs. Makabila mengine). Unaburudisha japo wakati mwingine unaweza kupitiliza. Don't take anything personal please; na ukiona huna kifua just leave the convo maana ku-control watu na perceptions zao napo ni pagumu kweli kweli! 🚶🏿♂️🚶🏿♂️🚶🏿♂️
Nyama wanazo sema mpangilio sasa😅Kwa sababu makabila mengine tumewaongezea nyama.
Acha nimshukuru zangu Mungu.Nyama wanazo sema mpangilio sasa😅
Wasisikie wengine sasa.Acha nimshukuru zangu Mungu.
Mkuu labda kama ni mteja wake wa zamani ila sasahivi dau lime panda hiyo 150k labda bao 1 ila night anataka 400k na umpeleke kwenye hotel nzuri sio Lodge za 20k
Wakuu DJ Snyorita anapatikanaje. Nina milioni 2 hazina kazi