Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asantee kweli mm nimenona hata wewe wajua jilan kutwa unameza mateeAchana na uyo Demiss kanona wew oooh
[emoji23][emoji23][emoji23]ivi uyu mtoa mada si ndie Yule alieapa hatawasamehe wazazi wake kisa kumzuia Kuoa mzenji wake au sio yeye
nimeamini huyu engineer hayuko serious kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]
ndo hivo mkuu ile ni chai kama chai zngine tu...nimeamini huyu engineer hayuko serious kabisa
Hahaaa. Sijafukua mie jamaani Pacha lol.Mmmmmh, jamani pacha ninI tena my lovely twin.
Naona umefukua makaburi pacha wangu kipenzi mwaya. Thawa bhana.
ila kiukweli macho sjui yameumbwaje jamani coz toa mada anaweza akamuona mzuri ila kwa mie uzuri wake si lolote si chochote kwangu coz hawezi kumshinda uzuri mwenye hii avatar hapa chini pacha wangu.
View attachment 823033
So Lovely.
Hahaaa. Sijafukua mie jamaani Pacha lol.
Ndivyo yalivyo macho hivyo wala usishangae sababu hata huyo Hajar hapo wapo watu waeza sema si lolote. Hivyo haya macho tuachane nayo tu kwa kweli.
Hahahaaaa.
Kwamim uono wangu wa macho kisura huyu dem ni mzur akiwa na hijab au bila hijab. MashaAllah[emoji120]Mmmmmh, jamani pacha ninI tena my lovely twin.
Naona umefukua makaburi pacha wangu kipenzi mwaya. Thawa bhana.
ila kiukweli macho sjui yameumbwaje jamani coz toa mada anaweza akamuona mzuri ila kwa mie uzuri wake si lolote si chochote kwangu coz hawezi kumshinda uzuri mwenye hii avatar hapa chini pacha wangu.
View attachment 823033
So Lovely.
Kabisa Mkuu warembo wanajulikana kma ni makalio hta nyani anayo....
Ana chura!mxieew kwa urembo gani hasa alionao
Uchochezi!
Ushauri mzuri mkuuKawasamehe kwanza wazazi wako mkuu
Kabisa Mkuu warembo wanajulikana kma ni makalio hta nyani anayo....
Asante sana mkuu ubarikiwe pia,mungu awe nawe katika kila hatua ya mafanikio yako. Siku njema.Hahahahah.
Umemaliza kila kitu kiongozi. Ubarikiwe sana na uwe na siku njema mkuu.
Lovely.