Aliyeimba akwelina alijiita OCGKweli nimezeeka. Kuna vijana wawili walikuwa wakisoma mlimani huku wakifanya muziki. Mmoja alikuwa Engineering akadico alikuwa akitamba na wimbo unaitwa Acquilina. Mwingine aliimba wimbo uliovuma sana "...bure mtakunywa sumu..." aliimba na Stara Thomas. Huyu aliokoka akaacha muziki.
Uswahilini matora na mabaga flesh yalikuwa ni makundi mawili tofauti kimuziki. .......Uswahilini Matola na Mabaga Fresh walikua walewale ama
Kwa mfano ingekuwa papuchi inasoma mitaa siingeshamaliza no zote maanaa nimkongwee mpakaa nature akamtungia kasongIla mtoto bana Badoo analipaa aiseee sio siri dah Mimi nilijua kazeeka kumbe Bado yupo vizuli tuu
Toka bifu la kikosi na n2n na kalapina kumpasua bou nako kalapina hajawahii kanyaga Arusha hiii mpakaa sahiviiHuyu jamaa alikuwa mkorofi sana na nashangaa sana jinsi alivyobadilika, si nasikia kipindi fulani waliwahi kumnyoa nywele kisa kawaponda kwenye video yao kipindi cha planet bongo
Yupoo jelaa mpakaa leooAlipigwa kisu na producer wake dah sijui kesi ile iliishia wapi.
Yakatungiwa na jina kabisaaWakati bushoke ametoa album yake ya kwanza barua. Cover lake kuna shati alikuwa amevaa basi likawa fassion kkoo yakawa yanauzwa kama njugu.
Pina hajawahii kanyaga kipandee hiii kwakweliii maana chalii za Bronx walisemaa atachezeshewa vidaga mpaka aflotkala pina alikuwaga anazingua sana kawazingua sana king'oko, alikuwaga anawaletea sana N2N wakija Dar kupiga show.. kuna siku pale Club billcana Lord eyez akamtolea uvivu aisee hapakutosha Lord naye kumbe ni mtemi bhana daaah alimrushia sana , kalapina akarudi sijui block 41 huko kwenda kuwachukua wenzake. Hii bifu iliendelea sana kwa muda kunakipindi bou ako akataitishwa na washkaji wa kikosi wakiwa na boban.
Wakawekeana mipaka hahahaha kipindi hicho kalapana akawa hafiki arusha ila N2N Wanapiga tu dar fresh.. Umri ushaenda walisha acha mizinguo ila pina alikuwaga ana zingua sana alikuwa anajikuta yeye pekee na kikosi ndo wanafanaya real hip hop
VP kale kachura kamepingua au kapo vile vile? Maana alikuwa na chura sio mchezoooBado yupo vizuri huwa naona anatupia picha kwenye page zake
Mahsen awadh ndo naniMahsein Awadh kuhusishwa na kashfa ya Ugomora, Picha zake zikazagaa kwenye mitandao na kwenye magazeti ya Eric... Akajitetea alikuwa kwenye mradi wa filamu yake mpya, ... kujisafisha akaona atoe movie kweli ya "Nimekubali Kuolewa". sasa hatujui ile ilikuwa ni mradi kweli au jamaa ni MGOMORA. God Knows!
Kuna MTU anaitwa mnyalu jamani sintobadilikaaa aisee.....Wapi Nataka demu ya Jay usha madem wa bongo wakali wa enz zile faudhia Euginia kajala..... na likaja Goma la kufa mtu booonge la Hip hop ingekua Vipi Mwanafalsafa feat Jay mo ilkua balaa sana miaka ya 2002+.enz zile shigongo gazeti zake anaweka na Lyrics za nyimbo za bongo au America bila kusahau Billboard chart au Bamiza..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii ilikuaje mkuu..hebu dadavua kidogoKalapina kuwapiga bitt NAKO 2 NAKO Mpaka wakaikimbia DAR na kurudi ARUSHA
Mjema kwa nini alijiuaYeah aisee lile kundi lao alikuwepo Steve k alikuwepo john mjema na spider man ,
Lakini mwisho wa Sikh Steve 2k aliuwawa alichomwaga kisuu alikuwa ugomvi yeye na meneja wakee badae john mjema nae alijiuwaa kwa kujichoma kisu kichwanii hili lilikuwa tukio LA kusisimuaaa bila kusahahauu.
Father g yule wa arusha yeye pia alichomwaga kisu akafaa kama unamfahamu alitoaga wimbo hii ni dhambi kwa mwenyezii ukienda YouTube utaukutaa.
Halafu ivi wimbo wa Mimi sio mwizi wa alikuwepo john mjema ivi naweza kuupata wapi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Iliposemekana Dully kafumaniwa na mke wa mtu jamaa wakamkata kiboga.
We kweli mkongweDAR YA KIPINDI KILE MKUU ILIKUWA NI DAR KWELI KWELI
MIMI NILIANZA KUPANGA CHUMBA KODI NALIPA ELFU 2,
ASUBUHI CHAI ILIKUWA INAUZWA SH.50 NA VITUMBUA SH.10.
2.MCHANA UBWABWA MAHARAGE BEI 500 UKITAKA CHIPS YAI 700 NA SODA 200._
3.USIKU HIVO HIVO KAA MCHANA
4.SIKU ZA WEEKEND CLUB ILIKUWA BILICANAS , MAMBO CLUB, FM CLUB HII ILIKUWA KINONDONI KIINGILIO ILIKUWA 500 NA UKIINGIA BIA ILIKUWA 500 TENA ILIKUWA NI SAFALI LAKINI KULIKUWA NA BIA KAMA BIGWA, THE KICK BEI MPAKA 300.
HAYA NDO MAISHA DAR MIAKA YA TISINI KUJA ELFU MBILI