Special Thread: Tujikumbushe matukio ya zamani ya wasanii wa Bongo Fleva

Aliyeimba akwelina alijiita OCG
 
Enzi hizo AY alikua na kundi linaitwa CBM crew, kabla ya kujitoa na kushirikiana na King Gk kutoa single ya Miiko kumi ya Rap, enzi hizo nilikua naona kama GK anaimba kama DXM

Enzi hizo za Mabaga fresh na songi lao la Tunataabika, Enzi za akina Big Dog Pose aka BDP,
Enzi za kabla ya kufa GWM na kuunda Wachuja Nafaka,

Kipindi hicho albam pekee niliyokua nanunua ni za HBC tena kwa kujichanga nipate sh. 700/- nyimbo nyingine zote nilikua navizia kurekod kwenye kipindi cha DJ Show cha abubakar Sadik

Enzi zile Bongo fleva inapigwa kwenye Dj Show tena sio kila siku inabidi usubiri hadi jumanne kuanzia saa nane hadi saa kumi jiono na labda kwenye weekend show.
 
Uswahilini Matola na Mabaga Fresh walikua walewale ama
Uswahilini matora na mabaga flesh yalikuwa ni makundi mawili tofauti kimuziki. .......

Uswahilini matola walikuwaga watoto wa manzese ila ngoma iliyowatoaga kimuziki ilikuwa kosa LA marehemu, tumbo deni LA dunia, kosa LA marehemu rmx.
Baada ya hapo hawakusikika tena

Mabaga flesh walikuwaga watoto wa temeke na ndio kundi lilitoa Juma nature katika ule wimbo wa mtulize kabla hajakutuliza Huu wimbo ndo wimbo wa kwanza nature kusikikaaa.

Ila linapokuja swala LA kimuziki HADI Leo hii Bado wanasikikaa
 
Kuna wimbo aliuimba Duly Sykes ulikuwa unapigwa kwenye kipindi cha Sebastian Ndege, Radio One kama sikosei. Sijui nitaupata wapi?
 
Hivi nyie sna lee,blue,banana zorro,dully mbona hamuongelei ishu zao...dogo hamidu,kuna yule aliyeiimba ndoto tata
 
kwenye mkali wa rymes nakumbuka inspector harun aliingia kavaa yeboyebo na ajisifia ile mbaya eti mkali wa pamba, kipindi hicho yebo ndo yebo kweli bila 15000 huchukui!
 
Ila mtoto bana Badoo analipaa aiseee sio siri dah Mimi nilijua kazeeka kumbe Bado yupo vizuli tuu
Kwa mfano ingekuwa papuchi inasoma mitaa siingeshamaliza no zote maanaa nimkongwee mpakaa nature akamtungia kasong
 
Huyu jamaa alikuwa mkorofi sana na nashangaa sana jinsi alivyobadilika, si nasikia kipindi fulani waliwahi kumnyoa nywele kisa kawaponda kwenye video yao kipindi cha planet bongo
Toka bifu la kikosi na n2n na kalapina kumpasua bou nako kalapina hajawahii kanyaga Arusha hiii mpakaa sahivii
 
Wakati bushoke ametoa album yake ya kwanza barua. Cover lake kuna shati alikuwa amevaa basi likawa fassion kkoo yakawa yanauzwa kama njugu.
Yakatungiwa na jina kabisaa
 
Pina hajawahii kanyaga kipandee hiii kwakweliii maana chalii za Bronx walisemaa atachezeshewa vidaga mpaka aflot
 
Mahsen awadh ndo nani
 
Kuna MTU anaitwa mnyalu jamani sintobadilikaaa aisee.....
 
Mjema kwa nini alijiua
 
We kweli mkongwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…