Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
- Thread starter
- #141
Kalapina alizidisha sana uhuni na usela sana mshikajiiiPina kwenda kutoa posa nyumbani kwa kina Mr Blue...
Solo Thang kutekwa na Kikosi siku ya uzinduzi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kalapina alizidisha sana uhuni na usela sana mshikajiiiPina kwenda kutoa posa nyumbani kwa kina Mr Blue...
Solo Thang kutekwa na Kikosi siku ya uzinduzi...
Ilaa daa AFANDE SELE sijui alikuwa ana nini mshikaji maana kuna time alianza kuwa na bifuuBifu ya Afande Sele na O Ten
Jamaa na Sugu wana historia, Sugu alimtoaga jamaa jeshini ndo kisa cha kuitwa Afande SeleIlaa daa AFANDE SELE sijui alikuwa ana nini mshikaji maana kuna time alianza kuwa na bifuu
1.nasikia alikuwa na bifuu na PROFESA j hadi kupelekea PROFESA asisusiee ile shooting ya wimbo wa mtazamo.
2.bifuu badae akawa yeye na yule dogo ditoo hadi dogo ditoo akajitoa kundi LA watu pori .
3.bifuu LA yeye na o ten
4.bifuu LA yeye na madee
5.bifuu LA yeye na ney wa mitego
Badae akaingia katika siasa akiwa chadema badae akajiunga ACT.
ILA MZEE afande nae katoka mbali sanaa kuna story pia niliwahi kusikia kabla ya kuwa mwanamuzki alikuwa msaidizi wa sugu kimuziki yaani sugu alikuwa anamtuma Fanya hivi Fanya vilee
Asante kwa kunikumbusha mkuu.jamaa aliye imba na stara thomas alikua anaitwa K Basil aise kitambo sana Mkuu
Nilikuwa simpendi na kikosi chao cha mizinga. Alikuwa anatisha sana. Misuli alikuwa akiiacha nje halafu anafunika jicho moja kama chongo.Kalapina alizidisha sana uhuni na usela sana mshikajiii
Aisee namkumbuka sana yule mdada jina limenitoka kidogo ngoja nitalitafuta ,Naomba kutajiwa alieimba wimbo ule ulikuwa unapigwa sana radio free africa kipindi cha usiku wa mahaba na dr. Maganga....wimbo wa sheilaaaaa.....mshikaji analaumu sana kuachiwa demu wake sheila.
Cha ajab alieimba simjui na huo wimbo haupatikan kama zingine japo ni bonge la wimbo..sheilaaaa, niachie huyu sheilaaa.....
Mkuu fukunyua ukipata itakuwa msaada mkubwa sana kwangu.....naupenda sana huo wimboAisee namkumbuka sana yule mdada jina limenitoka kidogo ngoja nitalitafuta ,
Namkumbuka Sean Paul alivyokuja bongo huyu mdada nilianzaga kumjua wakati aki perfom
Casto bado yuko segereaDaah kalapina alikuwaga mtata sana ila mwisho wa maneno ilikuwa dudubaya alivyompiga Mr.nice hadii akamvunja kiuonoo.
Bila kusahau kuna msanii kwa jina Steve to k alipigwagaaa kisu hadi kifoo sijui wangapi wanamkumbuka
Majina yake kamili plzSos b yuko vizuli sana saivi nasikia branch manager wa benk ya akiba
Naikumbuka hiyo, diamond jubelee enzi hizoShindano la TID na dully Sykes diamond jublew duli akitamba na Salome halafu tid na zeze.
Naomba kutajiwa alieimba wimbo ule ulikuwa unapigwa sana radio free africa kipindi cha usiku wa mahaba na dr. Maganga....wimbo wa sheilaaaaa.....mshikaji analaumu sana kuachiwa demu wake sheila.
Cha ajab alieimba simjui na huo wimbo haupatikan kama zingine japo ni bonge la wimbo..sheilaaaa, niachie huyu sheilaaa.....
oi mkuu ingia youtube afuu uandike sheira itakuja ikiwa na audio versionMkuu fukunyua ukipata itakuwa msaada mkubwa sana kwangu.....naupenda sana huo wimbo
Hiyo ilitisha sana halafu hayo mabifu yanilinogesha sana mziki enzi hizo Eti siku hizi bifu ni insta pekee ake daaaa nazitamani hizo EnziKalapina kuwapiga bitt NAKO 2 NAKO Mpaka wakaikimbia DAR na kurudi ARUSHA