Mzee Zambarau
Member
- Jan 31, 2017
- 18
- 7
Hivi wale walioimba [HASHTAG]#HAKUVAA[/HASHTAG] KONDOM ni akina nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uswahilini Matola..Hivi wale walioimba [HASHTAG]#HAKUVAA[/HASHTAG] KONDOM ni akina nani
Uswahilini matolaa nakumbuka ndio na hiyo nyimboo na ile tumbo deni LA dunia baada ya hapo hawakusikika tenaHivi wale walioimba [HASHTAG]#HAKUVAA[/HASHTAG] KONDOM ni akina nani
Ebana unataaka kuniambia mchizi alikuwa udsmKweli nimezeeka. Kuna vijana wawili walikuwa wakisoma mlimani huku wakifanya muziki. Mmoja alikuwa Engineering akadico alikuwa akitamba na wimbo unaitwa Acquilina. Mwingine aliimba wimbo uliovuma sana "...bure mtakunywa sumu..." aliimba na Stara Thomas. Huyu aliokoka akaacha muziki.
Mshikaji yupo mpaka leooo.Gonjwa hili limezua kizazaa, mzozoo.. gumzo..gumzooo kwa mabronzo, masista du, machizi, wazazi, walimu na wanafunzi..
Mzee wa kidhaa dhaa...
Daa kumbe Castro ndo yupo jela mpaka leooCastro Jamaa alifungwa mpaka leo yuko Jela. Sikiliza mchizi wangu remix
Yaani Steve 2k na Castro walikua ni washkaji na ndio walimuonesha Njia Fid q Huyu wa leo, maana aliemchoma kisu ndio alieproduce wimbo Mkali uliofungua milango unaitwa Fid q. Com
Ebana Mkuu kuna SONG FLANI LILIKUWA LINAITWAA OYA MSELA OYAA OYAA MSELAAKwanza imeanza mwaka 1990, diplomats wamekuja baadae kidogo. We unayewajua diplomats tupe historia
Dah huyu mshikaji kuna tetesi nilikuwa nazisikiaga kipindi akiwa mkorofi alikuwa anaringia ana ndugu zake wengi wako serikalini hivyoo wangemtetea tuuHuyu jamaa alikuwa mkorofi sana na nashangaa sana jinsi alivyobadilika, si nasikia kipindi fulani waliwahi kumnyoa nywele kisa kawaponda kwenye video yao kipindi cha planet bongo
Leo hii kiuno kimejaa chuma[emoji3][emoji3][emoji3][emoji23]Dah ray c ametoka mbali mnoo nakumbuka nilianza kumsikia akiwa presenter wa clous FM .
Badae nikajaga kumsikia anaimba
Akaja akijiita kiuno bila mfupaaa dah leo hii eti amekuwa tejaaa ni KWELI MAISHA safali ndefuu
Mkuu hizo lyrics nilikuwa nahamishia kwenye daftari la shule.. Nakumbuka Salome ya dully ndio ilikuwa page ya kwanza.Wapi Nataka demu ya Jay mo kuwarusha madem wa bongo wakali wa enz zile faudhia Euginia kajala..... na likaja Goma la kufa mtu booonge la Hip hop ingekua Vipi Mwanafalsafa feat Jay mo ilkua balaa sana miaka ya 2002+.enz zile shigongo gazeti zake anaweka na Lyrics za nyimbo za bongo au America bila kusahau Billboard chart au Bamiza..
Bushoke yanaitwa, nilidaka langu mapema sana.Wakati bushoke ametoa album yake ya kwanza barua. Cover lake kuna shati alikuwa amevaa basi likawa fassion kkoo yakawa yanauzwa kama njugu.
jamaa aliye imba na stara thomas alikua anaitwa K Basil aise kitambo sana MkuuKweli nimezeeka. Kuna vijana wawili walikuwa wakisoma mlimani huku wakifanya muziki. Mmoja alikuwa Engineering akadico alikuwa akitamba na wimbo unaitwa Acquilina. Mwingine aliimba wimbo uliovuma sana "...bure mtakunywa sumu..." aliimba na Stara Thomas. Huyu aliokoka akaacha muziki.