Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna moja Kalapina na wagumu wenzie walianzisha tamasha la hip hop yule teja wanamwita Chid benzi akajifanya anavamia jukwaa bila kupewa ruhusa alichezea kipondo toka kwa kalapina[emoji116]
Kalama Masoud kazeeka sasa,Huyu jamaa alikuwa mkorofi sana na nashangaa sana jinsi alivyobadilika, si nasikia kipindi fulani waliwahi kumnyoa nywele kisa kawaponda kwenye video yao kipindi cha planet bongo
Unawajua DIPLOMATS lakini!? Au nayo haudhani kama unawajua!?Kwanza Unit sidhani kama walishindana na Diplomats, diplomats wamekuja baade nadhani hata Nigger One alikuwa ameshafariki. Kunawatoto walikuwa wanaitwa Dar Young Mob nao walikuwepo mwanzoni mwanzoni mwa miaka ya 90
Mkuu miaka ya 90 hakukuwa kuna msanii anaeitwa SUGU Bali miaka 95 sugu alikuwa akijulikana kama 2 proud na nyimbo iliyomtoaa ilikuwa ni NI WAPI TUNAKWENDAdah yani hakuna hata mmoja ambaye kamgusia sugu au ndio umri maana sugu akitisha enzi zile za 90s pamoja na kijana mmoja akiitwa balozi uyu jamaa alilkuwa balaa ila profesor jay alivyokuja kuimba chemsha bongo jamaa akaaga mashindani akaona isiwe tabu akatoa nyimbo yake ta mwisho , "kwenye nyati"
Hivi kati ya kwanza unit na diplomatics ni hivi ni nani walianza katika gemuu ya muzikiKwanza Unit sidhani kama walishindana na Diplomats, diplomats wamekuja baade nadhani hata Nigger One alikuwa ameshafariki. Kunawatoto walikuwa wanaitwa Dar Young Mob nao walikuwepo mwanzoni mwanzoni mwa miaka ya 90
Hahaha Juma nature na sintaaPenzi la jumanecha na sintah,mpaka kumwimbia nyimbo mbili,sitaki demu na inaniuma sana,walivuma kama alivyovuma dimond na wema
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu wewe mtata sana aiseee.na usiku mgambo sele anauchungulia huu uziMgambo Sele kuvua nguo jukwaani.....
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Tukio la kikosi cha mizinga kumteka solo thang
Alipigwa kisu na producer wake dah sijui kesi ile iliishia wapi.Daah kalapina alikuwaga mtata sana ila mwisho wa maneno ilikuwa dudubaya alivyompiga Mr.nice hadii akamvunja kiuonoo.
Bila kusahau kuna msanii kwa jina Steve to k alipigwagaaa kisu hadi kifoo sijui wangapi wanamkumbuka
Castro Jamaa alifungwa mpaka leo yuko Jela. Sikiliza mchizi wangu remixAlipigwa kisu na producer wake dah sijui kesi ile iliishia wapi.