Special Thread: Tujikumbushe matukio ya zamani ya wasanii wa Bongo Fleva

Special Thread: Tujikumbushe matukio ya zamani ya wasanii wa Bongo Fleva

Ray c akila penzi nono mwisho mwampamba yan enzi hizo namuona ndio mwanamke pekee ulimwenguni mzuri...eti leo teja! Maisha safari ndefu ulo nyuma usisimame endelea kuja wapo utakaowakuta na utakaowapita
Huwezi panda bas na ni lazima uende hata kama huna nsuli.
 
Jamani kwa wale wapenzi wa muziki wa bongo flevaa hebu tujikumbushie matukio, bifu yaliyowahi kubamba miaka ya nyuma ENZI za bongo FLEVA kitambo hiko yaliyowahi kuhit.

1.moja kati ya matukio ilikuwa ni DUDUBAYA KUMPIGA MR.NICE NA KUMUUMIZA .

2.TUKIO LA WATU KULA UGALI KATIKA UZINDUZI wa albamu ya mtoto wa get I Kali diamond jubilee

3.bifu LA sister p na ZAY b KIPINDI WAKO kwenye chat.

4.Tukio LA east coast kupigwa mawe uwanja wa taifa na wahuni wa TEMEKE .

5.bifu LA wasanii wa Tmk na eastcoast

6.mwanadada sitta alivyonusurika kupigwa ENZI za uzinduzi wa albamu ya UGALI ya jumanature.

7.tukio LA wadada kubakwaa hii ilikuwa viwanja vya jagwani hii ilikuwa show ya buree ENZI za jk anafanya kampeni baada ya kundi LA Tmk WANAUME

8.tukio LA ali choki MZEE wa FARASI alipodondoka juu ya FARASI hadi akazimiaa katika show yake flani ivi.

9.BIFU YA ISPECTA NA JUMANATURE hii ilikuwa kitambo

10.TUKIO LA dully syskes kupigwa maweee hii ilikuwa fiesta 2002 na wahuni wa TEMEKE.

Haya jamani mnakumbuka nini lakini pia hebu ongeezeni matukio tujikumbushiee
2. Ilikuwa uzinduzi wa album ya 'ugali' diamond jubilee
7. Ilikuwa ni show ya TTCL prepaid wilaya ya Ilala. Pia zilifanyika tmk na kino pale Biafra
 
Dah ray c ametoka mbali mnoo nakumbuka nilianza kumsikia akiwa presenter wa clous FM .

Badae nikajaga kumsikia anaimba

Akaja akijiita kiuno bila mfupaaa dah leo hii eti amekuwa tejaaa ni KWELI MAISHA safali ndefuu


Siku hizi anapiga debe Mwananyamala.
 
Daah kalapina alikuwaga mtata sana ila mwisho wa maneno ilikuwa dudubaya alivyompiga Mr.nice hadii akamvunja kiuonoo.

Bila kusahau kuna msanii kwa jina Steve to k alipigwagaaa kisu hadi kifoo sijui wangapi wanamkumbuka
Dah! naikumbuka hii jamani, alichomwa kisu cha tumbo
 
Daa complex na Vivian hawa walikuwa MTU na mpenzi walikufaga katika ajari wakitokea arushaa wakija dar .......

Amina chifupa huyu Dada yangu sitomsahau alikuwaga jirani yangu mikocheni b na pia alikuwa mtangazaji wa cluos FM kabla ya ubunge viti maalumu
Umekosea kidogo wakikuwa wanatoka kwenye fiesta moro wakielekea kwenye kuadhinisha miaka 25 ya ndoa ya wazazi wake na vivian pia ili complex kutambulishwa
 
Yeah aisee lile kundi lao alikuwepo Steve k alikuwepo john mjema na spider man ,

Lakini mwisho wa Sikh Steve 2k aliuwawa alichomwaga kisuu alikuwa ugomvi yeye na meneja wakee badae john mjema nae alijiuwaa kwa kujichoma kisu kichwanii hili lilikuwa tukio LA kusisimuaaa bila kusahahauu.

Father g yule wa arusha yeye pia alichomwaga kisu akafaa kama unamfahamu alitoaga wimbo hii ni dhambi kwa mwenyezii ukienda YouTube utaukutaa.

Halafu ivi wimbo wa Mimi sio mwizi wa alikuwepo john mjema ivi naweza kuupata wapi
Father G!?
 
Dah mtoto sintaa kipindi kile alisumbua sana na ndio alikuwa top of the town sasa hivi atakuwa sjui yuko wapiii mrembo yulee,

Sio sasa hivi vijana wanazaliwa wanamjua wemaa tuu basii sinta ukiwauliza hawamjuiii
Bado yupo vizuri huwa naona anatupia picha kwenye page zake
4a83376fa5b674fb720c0bf1c615d4a3.jpg
 
Bado yupo vizuri huwa naona anatupia picha kwenye page zake
4a83376fa5b674fb720c0bf1c615d4a3.jpg
Daa huyu mdada Mimi nimeanza kumfahamu nikiwa darasa LA tano enzi anaigiza na kina doctor cheniiii hadi anatoka na Juma naturee miaka ya 2000.

Lakini hadi Leo hii mtoto Bado analipaa Mimi nilijua kashazeeka kumbe ndo kwanza mtoto mbichii
Yaani hapo unaweza ukakuta mtoto ana miaka 40 lakini utasema yupo under 18
 
Sinta was a hot chick in town acheni tu, halafu msisahau walioigiza ile filam ya girlfriend akina ay, gk, tid, monalisa
 
Back then walikuepo akina stara thomas, na solo thang na muziki wa zouk
 
Back
Top Bottom