swahiba Senior
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 2,478
- 3,628
Nikupatie tu taarifa Castro Alishatoka jela nadhani huu mwaka wa4 or wa5 sasa iLikuwa kama 2012 or 2013 na alikuja Hadi EATV na cloudsCastro Jamaa alifungwa mpaka leo yuko Jela. Sikiliza mchizi wangu remix
Yaani Steve 2k na Castro walikua ni washkaji na ndio walimuonesha Njia Fid q Huyu wa leo, maana aliemchoma kisu ndio alieproduce wimbo Mkali uliofungua milango unaitwa Fid q. Com
Anaitwa K BasilKweli nimezeeka. Kuna vijana wawili walikuwa wakisoma mlimani huku wakifanya muziki. Mmoja alikuwa Engineering akadico alikuwa akitamba na wimbo unaitwa Acquilina. Mwingine aliimba wimbo uliovuma sana "...bure mtakunywa sumu..." aliimba na Stara Thomas. Huyu aliokoka akaacha muziki.
Anaitwa Ester wassiraNaomba kutajiwa alieimba wimbo ule ulikuwa unapigwa sana radio free africa kipindi cha usiku wa mahaba na dr. Maganga....wimbo wa sheilaaaaa.....mshikaji analaumu sana kuachiwa demu wake sheila.
Cha ajab alieimba simjui na huo wimbo haupatikan kama zingine japo ni bonge la wimbo..sheilaaaa, niachie huyu sheilaaa.....
Haupo mkuu you tubeAnaitwa Ester wassira
Nimesearch sana you tube siupati mkuu, labda unipe link kama umeipata.oi mkuu ingia youtube afuu uandike sheira itakuja ikiwa na audio version
Huyo ni Esther WasiraAisee namkumbuka sana yule mdada jina limenitoka kidogo ngoja nitalitafuta ,
Namkumbuka Sean Paul alivyokuja bongo huyu mdada nilianzaga kumjua wakati aki perfom
Naomba kutajiwa alieimba wimbo ule ulikuwa unapigwa sana radio free africa kipindi cha usiku wa mahaba na dr. Maganga....wimbo wa sheilaaaaa.....mshikaji analaumu sana kuachiwa demu wake sheila.
Cha ajab alieimba simjui na huo wimbo haupatikan kama zingine japo ni bonge la wimbo..sheilaaaa, niachie huyu sheilaaa.....
Mi ninao ngoja nijaribu kuattach kama nitawezaMkuu fukunyua ukipata itakuwa msaada mkubwa sana kwangu.....naupenda sana huo wimbo
Hizi bangi ni mbaya sana[emoji2] [emoji2] [emoji2]Mgambo Sele kuvua nguo jukwaani.....
[emoji1] [emoji1] [emoji1] asiyehusika na hip hop ashuke..halafu hii ni juzijuzi tuKuna moja Kalapina na wagumu wenzie walianzisha tamasha la hip hop yule teja wanamwita Chid benzi akajifanya anavamia jukwaa bila kupewa ruhusa alichezea kipondo toka kwa kalapina[emoji116]
hiyo tu kuna jamaa yetu alipeleka msiba dar tena kwa usafiri wa mwanza dar waenzi hizo walifika usiku baada ya mazishi wakgeuza siunajua misba yetu ya dini ya kiisilamu jamaa uskiu mmoja tu dar kurudi mwanza kaja kijiweni anatuletea swaga"duuhh dar kijoto"kipindi tupo kijijini likizo ukipata nafsi ya kuja dar ata wiki tu unaongea kiswahili cha dar
Hahaaa nakumbuka madem walikuwa wanasema wapi watampata mr. Blue awe mpenzi wao basi wavulana tunachukiaaa, haha enzi za mapozi nami by blueKuna mshikaji shulen alikua na T-shirt ya East Coast basi alikua haivui kma ngozi na madem full kumshobokea kweli zamani raha
Umeshindwa kuutuma??Mi ninao ngoja nijaribu kuattach kama nitaweza
Ambae ahusiki na show ashukeKuna moja Kalapina na wagumu wenzie walianzisha tamasha la hip hop yule teja wanamwita Chid benzi akajifanya anavamia jukwaa bila kupewa ruhusa alichezea kipondo toka kwa kalapina[emoji116]
Umeshindwa kuutuma??