DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Hakika Bangi sijui Anazovuta Mbona 20% kabadirika msafi ananyoa kipara.Huyu jamaa sijui huwa ndumba zake anachanganya na nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika Bangi sijui Anazovuta Mbona 20% kabadirika msafi ananyoa kipara.Huyu jamaa sijui huwa ndumba zake anachanganya na nini?
Bangi c mbaya ila kichwa chake kibovu, dem wangu neliaa huu n mwaka wa tano npo nae anaitumiaa bangi nasijawah ona ikimpaa shdaa yytAnafanya bangi isiaminike
Kuwa nae makini mkuu Apo unafuga chatu pasi kujua anajisokota nawe unacheza nae kumbe anapima urefu wako lini akumeze uzuri.Bangi c mbaya ila kichwa chake kibovu, dem wangu neliaa huu n mwaka wa tano npo nae anaitumiaa bangi nasijawah ona ikimpaa shdaa yyt
Dah... Very sadLaana haikuanza leo... nawashangaa wanaomshangaa kumtukana mungu
Tayari alishaaribuBangi c mbaya ila kichwa chake kibovu, dem wangu neliaa huu n mwaka wa tano npo nae anaitumiaa bangi nasijawah ona ikimpaa shdaa yyt
Anaa shidaa mkuu na mimbaa anayo ss ,nazan jani limemkubalii n mara mbili kwa cku anatumiaa.Kuwa nae makini mkuu Apo unafuga chatu pasi kujua anajisokota nawe unacheza nae kumbe anapima urefu wako lini akumeze uzuri.
Makinika mkuu
Jani likikukubalii halina shidaa dem wangu limemkubalii htr na cjawah ona likileta tabu kwakee n mwakaa wa 5 ssAfande sele ni mlevi sio mvuta bangi
Wavuta bangi hatuna mambo ya kifala
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi mwaka 18 sasa alafu fresh tu na sitegemei kuachaJani likikukubalii halina shidaa dem wangu limemkubalii htr na cjawah ona likileta tabu kwakee n mwakaa wa 5 ss
Unauliza makofi Polisi..jaribu kuvuta jani pengine wewe unaweza kuonesha maajabu zaidi ya aliyoyafanya huyu mwehu ukaachia na haja kubwa zaidi jukwaani...usitupotezee mda tupo msibaniView attachment 1729599
Najiuliza hivi nini kilitokea hadi Mfalme Afande Sele akafikia hatua ya kuvua nguo jukwaani?
Naendelea kujiuliza na jibu sipati
Kweli watu wamevurugwa duh.Unauliza makofi Polisi..jaribu kuvuta jani pengine wewe unaweza kuonesha maajabu zaidi ya aliyoyafanya huyu mwehu ukaachia na haja kubwa zaidi jukwaani...usitupotezee mda tupo msibani