Special Thread: Tujikumbushe matukio ya zamani ya wasanii wa Bongo Fleva

Special Thread: Tujikumbushe matukio ya zamani ya wasanii wa Bongo Fleva

Laana haikuanza leo... nawashangaa wanaomshangaa kumtukana mungu
 
kuna vtu ukifanya vnagarim maisha yako yote hata uje kuokoka bado dosar hiyo utatembea nayo tu Ndio mana Ruge alsema Technlogia n ktu cha kuogopwa sana hii pcha n kama imepgwa juz usku kumbe inamiaka zaid ya 10 lakn bado inamtafuna mwana
 
Nafukiri kwa Sasa angekuwa na uwezo wa kuzifuta picha zote hizo angesha futa...
 
Amechefua..!
Mpaka hayo mabango ya tigo pichani yanamshangaa
 
Kuwa nae makini mkuu Apo unafuga chatu pasi kujua anajisokota nawe unacheza nae kumbe anapima urefu wako lini akumeze uzuri.
Makinika mkuu
Anaa shidaa mkuu na mimbaa anayo ss ,nazan jani limemkubalii n mara mbili kwa cku anatumiaa.
 
View attachment 1729599
Najiuliza hivi nini kilitokea hadi Mfalme Afande Sele akafikia hatua ya kuvua nguo jukwaani?
Naendelea kujiuliza na jibu sipati
Unauliza makofi Polisi..jaribu kuvuta jani pengine wewe unaweza kuonesha maajabu zaidi ya aliyoyafanya huyu mwehu ukaachia na haja kubwa zaidi jukwaani...usitupotezee mda tupo msibani
 
Back
Top Bottom