Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Baada ya kwenda CCM hali imekuwa mbaya zaidiHapa ilikua kabla au baada ya kuwa mwana CCM?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya kwenda CCM hali imekuwa mbaya zaidiHapa ilikua kabla au baada ya kuwa mwana CCM?
😂😂😂😂😂😂Anafanya bangi isiaminike
🤣🤣🤣Huyo alivuta makushabu na konyagi za mazense alafu hajala chakula cha mchana.
We endelea kujifariji, ipo siku atafanya kitu cha ajabu na ndipo utakapotambua kuwa bhangi haijawahi kumkubali binadamu.Jani likikukubalii halina shidaa dem wangu limemkubalii htr na cjawah ona likileta tabu kwakee n mwakaa wa 5 ss
😂😅We endelea kujifariji, ipo siku atafanya kitu cha ajabu na ndipo utakapotambua kuwa bhangi haijawahi kumkubali binadamu.
Shemeji yk mwaka wa tano huu nasijawah mwona ana ttz kt mkuu nami naheshimu maamuzi YK atumie anachokipenda coz naonaa ndio kitu kinampaa furahaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu makushabu ni nini??Huyo alivuta makushabu na konyagi za mazense alafu hajala chakula cha mchana.
Ni mambegu ya bange.[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu makushabu ni nini??
Afande sele ni mlevi sio mvuta bangi
Wavuta bangi hatuna mambo ya kifala
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata walevi hawana Mambo ya kifalaAfande sele ni mlevi sio mvuta bangi
Wavuta bangi hatuna mambo ya kifala
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika umebahatika sana. Nampenda demu anayevuta bangi niajeBangi c mbaya ila kichwa chake kibovu, dem wangu neliaa huu n mwaka wa tano npo nae anaitumiaa bangi nasijawah ona ikimpaa shdaa yyt
Utampataa tu mkuu usijaliiiHakika umebahatika sana. Nampenda demu anayevuta bangi niaje
Namba 8 nalikumbuka vema hilo tukioJamani kwa wale wapenzi wa muziki wa bongo flevaa hebu tujikumbushie matukio, bifu yaliyowahi kubamba miaka ya nyuma ENZI za bongo FLEVA kitambo hiko yaliyowahi kuhit.
1.moja kati ya matukio ilikuwa ni DUDUBAYA KUMPIGA MR.NICE NA KUMUUMIZA .
2.TUKIO LA WATU KULA UGALI KATIKA UZINDUZI wa albamu ya mtoto wa get I Kali diamond jubilee
3.bifu LA sister p na ZAY b KIPINDI WAKO kwenye chat.
4.Tukio LA east coast kupigwa mawe uwanja wa taifa na wahuni wa TEMEKE .
5.bifu LA wasanii wa Tmk na eastcoast
6.mwanadada sitta alivyonusurika kupigwa ENZI za uzinduzi wa albamu ya UGALI ya jumanature.
7.tukio LA wadada kubakwaa hii ilikuwa viwanja vya jagwani hii ilikuwa show ya buree ENZI za jk anafanya kampeni baada ya kundi LA Tmk WANAUME
8.tukio LA ali choki MZEE wa FARASI alipodondoka juu ya FARASI hadi akazimiaa katika show yake flani ivi.
9.BIFU YA ISPECTA NA JUMANATURE hii ilikuwa kitambo
10.TUKIO LA dully syskes kupigwa maweee hii ilikuwa fiesta 2002 na wahuni wa TEMEKE.
Haya jamani mnakumbuka nini lakini pia hebu ongeezeni matukio tujikumbushiee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilikuwa wapi hyo mkuu?Dully kubakwa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Since I was 15 till now 34Mzee kumbe Mfuasi wa Bob wewe?